Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Unaonea huruma issue ya ndoa tu? ni zaidi ya hapo, ndoa haipo na maumivu mengine kibao yanafuata, inauma sana!


 
yaani pamoja na technolojia ya smartphone hata kapicha ka kusindikiza habari...!!
 
ha
Yaani mimi nimkute demu wangu achilia mke analiwa uroda ofisini hakiya nani nawatwanga risasi ya moyo ili wafe na maumivu makali.
sira hasara na hazitasaidia..ukishawatwanga risasi then what.........
 
Watu wana hatari jamani!! ivi unavuaje nguo ukafanya mambo mabaya kazini na una mume nyumbani...?
Kwani lazima kuvua.....ni kama unaposikia kitu kimegusa nje usiku, utatoa pazia lote ili uone ni nini, au utasogeza pazia kidogo uchungulie?

Ila bado sielewi kwamba......hawajafunga mlango.......na ni vipi mtu aliyepanic na kushikiwa "bomba" bado awe anaitikia "kidumu chama....."
 
Monicca Monicca Monicca😵😵😵
Embu tupia picha kwanza mengine baadae
 
Maskini jamani siku nyingine muwe mnagonga mlango kabla ya kuingia!
 
kwaio umefurahia mwenyewe,wanawake bana..
 
Tatizo ni hizi mvua za mwezi wa nne na baridi za hapa na pale, walikuwa wanapasha kidogo tu.
 
Mmmhhh hizi ndoa za ckuiz noma
Tatizo wanawake nao wanaolewa walishapitia migegedo aina tofautitofauti xo inakuwa vigumu kwao kutulia
 
ibilis wangu hunituma kula vichakan wakati wa usiku lkn wa huyu daaaah IBILISI WAO KAMSHINDA WA KWANGU!!

Saluti kwenu
 
Mlango wa ofisi haukufungwa?

MKUU hii in stori ya kutunga tu - hakuna ukweli wowote. What a coincident - mumewe kuingia ofisi kwa Mkewe kakuta hayupo - kaomba msaada wa kupelekwa ofisi kwa bosi wake,narudia - ofisini sio nyumbani kwa bosi au Hotelini - kakuta mlango wa Bosi umerudishiwa tu haujafungwa ili yeyote anayetaka kuangalia senema ya bure ruksa!!!

Bosi baada ya kuwakuta sijui kwenye meza, sakafuni au kwenye makochi ya ofisini kawalazimisha kwa mtutu wa bunduki wagoni waendelee na shughuli yao kama kawa - Mara mumewe huyoo katokomea kusiko julikana baada ya kuhakikisha wabaya wake wanaendelea na ndomboro ya soro!!! Hii stori wapi na wapi??

Angesema labda mumewe aliwahi kutonywa na mtu, baadae akafanya mpango wa kuweka kwa kificho IP camera ofisi kwa bosi na vikorokocho vingine vidogo vidogo vya kumuwezesha kuona kinacho endelea ofisini kwa Bosi wa mkewe kwa kutumia smartphone yake via internet akiwa mbali sana au WiFi akiwa karibu by installing a proper apps kwenye smartphone anaweza kuona kila kitu kinachoendelea ndani ya ofisi ya Boss wake yeye akiwa ndani ya gari yake aliyo park karibu na ofisi ya Mkewe na Bosi wake, hiyo in rahisi kufanyika - njia nyingine ya kuwafuma with his pants down ofisi kwake sioni.
 
Swali kwa wanaume: ukishikiwa bastola bado dushe inaweza kufanya kazi? Yaani network inakuwa H+?
Pole yake bidada..km ndio mie home sirudi. Na huyo boss lazima anioe hata kwa nguvu.
 
Si lazima uamini maana kuamini au kutoamini kwako hakubaridiri ukweli
 

Usimuonee huruma kwa ndoa kuvunjika bali muonee huruma kwa pepo la ngono alilonalo, anaweza akapata mume mwingine akarudia tena kugegedwa@
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…