Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Nawapa pole sana hawa wenzetu kwa janga hili.Hakuna chenye mwanzo kisichokuwa na mwisho wake.Nahc kazi yao itaota mbawa
 
Mnaotaka picha azitoe wapi?,we unaweza kumpiga picha boss wako akiwa kwenye hali hyo?,isitoshe aliyezipiga hakuturushia
Huyu mwenyewe aliyemsindikiza me ofisini kwa boss kibarua kipo ICU itakuwa umpige picha
 
Duuu
Aibu ya mwaka hii,huyo Dada atakuwa anatamani dunia ipasuke aingie ...
 
Huu ni uongo wa mchana kweupe....how come huyo boss afanye hivyo bila hata kufunga mlango..?
 
Hii ni chai kama mleta uzi akiweza thibitisha nipigwe life ban!
Ni kweli kabisa Mleta uzi ana hasira zake kaitunga tu
ni ofisi gani utaingia moja kwa moja na kuwapita walinzi km zio mchongo wao kumkamatisha mke na mume waq mtu?
ni wajinga kiasi gani wabamandane ofisini bila ya kufunga mlango
ni member gani wa JF asiye hata na kasimu ka tochi atutupie picha?
Ok Monicca tutajie hiyo ofisi ipo kijiji gani km huwezi tupa picha na Mji
 
Inawezekana jamaa alikuwa anatrack mawasiliano ya mkewe. You never know!

Kumu track electronically in realtime sawa, so vinginevyo MKUU - ofisi za watu huwezi kuwa na ujasiri wa namna hiyo!
 
Huenda kuna mmoja wenu kauza mchongo mzima.
 
Mnhhhhhh!Uongo mwingine jamaniiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…