Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi avune alichopandaNdio ndoa ishaingia DOA na aibu juu.....
Hacha kutudanganya wewe au unatafuta likes za bwelele? Kama n kweli weka pichaSiwezi fanya hivyl coz ni mazongra ya kazin na inahusu staff wenzangu
Swali kwa wanaume: ukishikiwa bastola bado dushe inaweza kufanya kazi? Yaani network inakuwa H+?
Pole yake bidada..km ndio mie home sirudi. Na huyo boss lazima anioe hata kwa nguvu.
utamu sio mchezoWalishazoea so yupo mmoja wa staff hapo hapo kachora mchoro;
ila ni aibu, mweee;
hila huyo boss , ww unavyomjua uwa anawapiga miti wafanyakazi wa kike saana ?Si lazima uamini maana kuamini au kutoamini kwako hakubaridiri ukweli
SIKU UKIGONGWA NA NYOKA KWENYE KICHWA CHA CHINI UTAELEWA KILICHOMNYIMA KANGA MANYOYA.....ibilis wangu hunituma kula vichakan wakati wa usiku lkn wa huyu daaaah IBILISI WAO KAMSHINDA WA KWANGU!!
Saluti kwenu
taratibu taratibu akigundua umekwisha..Ukiona hivyo ujue kuna MTU ananyongwa
nawewe siku ukijaribu hutaacha mpk uzeen mwako[emoji1] [emoji1]SIKU UKIGONGWA NA NYOKA KWENYE KICHWA CHA CHINI UTAELEWA KILICHOMNYIMA KANGA MANYOYA.....
HAHAHAHA.. NINAVYOONA MIE HUYO MUME ALIKUWA NA INFORMER HAPO NA NINADHANI ALITONYWA NA MTU ANAYEJUA KINACHOENDELEA na hapo alikuwa kapewwa data kamili ya kinachoendelea so alikuja kukamata mwizi wake na si vinginevyo wacha akamatwe nyambafu zake guest? hakuna mpaka afanyie upuuzi wake ndani ya ofisiWandugu habari za kazi,
Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.
Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.
Kuna mdada nafanyanae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.
Chakushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa, jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.
kwakweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea..jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.
hahahahaha kichakani haswaaaaaaa na guest zote hizi huku town? hapana nonawewe siku ukijaribu hutaacha mpk uzeen mwako[emoji1] [emoji1]
hahahaaaa guest hiyo inakua ki-official sana yaaan mmejiandaa lkn cha kichakan ni kama ajali tu ya bodaboda ambayo inatokea kila mara na bila taarifahahahahaha kichakani haswaaaaaaa na guest zote hizi huku town? hapana no
asee utamu utaupata we najua ntakuwa nimeninginiza mguu mmoja mtini 🙄🙄🙄🙄🙄huku nahofia kugongwa na nyoka🙁hahahaaaa guest hiyo inakua ki-official sana yaaan mmejiandaa lkn cha kichakan ni kama ajali tu ya bodaboda ambayo inatokea kila mara na bila taarifa
Huyo mama yeye aliendelea kuwapo? Anasemaje?Ana ubavu kasepa kitambo sana.