Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Swali kwa wanaume: ukishikiwa bastola bado dushe inaweza kufanya kazi? Yaani network inakuwa H+?
Pole yake bidada..km ndio mie home sirudi. Na huyo boss lazima anioe hata kwa nguvu.

Kuhusu network inakuwa ni LTE kabisa... Yaani ile 4G iliyo tukuka tena unaweza kojoa dk hio hiyo goli ambalo halijawahi tokea ina sadikiwa lile goli linaweza toboa kizazi kwa maana likiwa open space lina weza ruka mita tano kwa speed kali na wingi mno....

Ukitaka prove siku moja toa bastola wakati mjamaa ndo anakuja utaona
 
Wandugu habari za kazi,
Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.

Kuna mdada nafanyanae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.

Chakushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa, jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

kwakweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea..jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.
HAHAHAHA.. NINAVYOONA MIE HUYO MUME ALIKUWA NA INFORMER HAPO NA NINADHANI ALITONYWA NA MTU ANAYEJUA KINACHOENDELEA na hapo alikuwa kapewwa data kamili ya kinachoendelea so alikuja kukamata mwizi wake na si vinginevyo wacha akamatwe nyambafu zake guest? hakuna mpaka afanyie upuuzi wake ndani ya ofisi


safiiiiiiiiiiii

leo mke harudi nyumbani...
 
Huyo boss si mimi kweli...? Na niliyefumaniwa nae sii wewe mrembo? Ngoja tusubiri picha "kwadha"
 
wanawake ni vigeu geu sana, unakuwa nae kwenye mausiano hadi miaka 3 wakati wote unakula vituz ana anakusifia tu oh ww mtamu oh unajua sana, unapeleka posa anakubali mara harusi watu wanashangilia sana baada ya hapo akishaanza michepuko yake akikutana na mihogo ya jangombe anaanza kashfa mara kibamia, mara kigunzi mara dakika 3 tu umeshakojoa hee! mbona kabla ya kuoana uliikuwa hulalamiki? hamjui tunahangaika sana kwa ajili ya kutafuta pesa ili familia iishi vizuri? mbona sisi hatuwasemi nyie? acheni hizo bhana....................
 
hahahaaaa guest hiyo inakua ki-official sana yaaan mmejiandaa lkn cha kichakan ni kama ajali tu ya bodaboda ambayo inatokea kila mara na bila taarifa
asee utamu utaupata we najua ntakuwa nimeninginiza mguu mmoja mtini 🙄🙄🙄🙄🙄huku nahofia kugongwa na nyoka🙁
 
Boss nae ni mzembe. Afukuzwe kazi kwa kosa la kutofunga mlango. Au alipanga na jamaa mwenye mke
 
Back
Top Bottom