Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
😂😂😂 ..... hapana kwa kweli..Wabongo Tutaiga yote Ila Kwa hili Hapana Aisee!
We mbona sio mvumilivu?arsenal ni wavumilivu hiyo ndoa itadumu
kwa yote niliyovumiliaWe mbona sio mvumilivu?
Umevumilia nini sasa[emoji134]kwa yote niliyovumilia
AiseeSio aaron huyu
Ndugu yetu humu
[emoji28][emoji28]Aisee
Hahahahahakweli anaroho ngumu na uvumilivu,,,kwa vipigo vinavyopokelewa na aseno kuvaa jezi mtaani tu ni aibu
huyu kawezaje harusini
Hahaha title inasema hivyoKwel Mm ndio sijui kiswahili nilidhani kaioa jezi...
Kuna watu wana mapenzi ya dhati kweli maana Timu yenyewe matatizo tele mashabiki zake wamejaa stress ila yeye kagonga hadi Njumu.....
Hahah! Watu wana mapenzi ya dhati na timu zao, kwahiyo jamaa akawa anaitwa Manchester United?Jamaa anaipenda Arsenal kiukweli.
Miaka ya Ferguson kuna mshabiki alienda mahakamani kubadili jina aitwe Manchester na surname iwe United.
Wakakubali first name, la pili wakakataa, akakata rufaa akashinda.