Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Ni sawa na yule Kindoki wa Yanga yangu.
Naye asingeozeshwa kwa ndoa ya mkeka hakika angefunga ndoa yake akiwa na jezi pamoja na magwanda na bendela na matambala yote Yanga fc.
Yuko radhi kumkodisha mkewe kwa mtu na kumuweka poni ili Yanga ishinde.
Yanga mpeni kazi ya usemaji wa timu huyo mtu.
Nina uhakika ni kazi anayoipenda kuliko zote hapa duniani na ataifanya hata kwa kujitolea bila malipo.
Naye asingeozeshwa kwa ndoa ya mkeka hakika angefunga ndoa yake akiwa na jezi pamoja na magwanda na bendela na matambala yote Yanga fc.
Yuko radhi kumkodisha mkewe kwa mtu na kumuweka poni ili Yanga ishinde.
Yanga mpeni kazi ya usemaji wa timu huyo mtu.
Nina uhakika ni kazi anayoipenda kuliko zote hapa duniani na ataifanya hata kwa kujitolea bila malipo.