SoC02 Afya iliyo imara kwa Taifa la leo ndio msingi imara kwa taifa la kesho

SoC02 Afya iliyo imara kwa Taifa la leo ndio msingi imara kwa taifa la kesho

Stories of Change - 2022 Competition

Dr Wilson255

Member
Joined
Aug 23, 2022
Posts
7
Reaction score
6
UTANGULIZI:

AFYA:Ni hali kujisikia vizuri kimwili,kiakili,kiroho na kiutu bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote. Afya ya binadamu itakua njema kama atafuatilia kanuni na taratibu bora za afya.Afya inajumuisha mambo yafuatayo.

1. Chakula chenye virutubisho vyote vikiwemo protini,wanga,na mafuta(hiyo iwe katika asilimia kidogo sana).

2. Kuwa msafi wa mwili na mazingira yako,kama vile(kuoga na kusafisha mazingira yanayokuzunguka)

3. Mandhari yenye hewa safi husaidia katika kuhifadhi afya ya binadamu katika mwili na akili,mazingira wakati wote huchukuliwa kama jambo muhimu sana katika hali ya afya ya binadamu,hii humanisha mazingira ya asili, mazingira ya kujengwa na mazingira ya kijamii.Mfano wa vitu kama vile maji safi,hewa safi,makazi salama, huchangia afya nzuri hasa kwa afya za Watoto wachanga na Watoto.Utafiti mwingine unaonyesha kua ukosefu wa maeneoya burudani husababisha kupungua kwa afya na ustawi.4.Kwa mana ingine afya pia ni”hali ya mtu kutosumbuliwa na maumivu na udhaifu,Pamoja na uwezowa kutumia sehemuzote za mwili.


MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA KUJENGA AFYA IMARA KATIKA TAIFA.

1. Serikali inatakiwa kuandaa wataalamu wa mambo ya afya na kujenga hospitali nyingi hata vijijini kwasababu watu wengi hupoteza Maisha kwa kukosa huduma za afya,hii itasaidia kupunguza vifo na hasa Zaidi kwa Watoto wadogo na wachanga ambao ndio taifa la kesho,lakini pia itasaidia kutunza afya za wazee ambao kulingana na umri wao kinga zao za mwili zinaweza kushuka na kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa, itasaidia sana serikali kujenga hospitali nyingi sana mpaka vijijini kutunza afya za nguvu kazi kwenye jamii ili pia kuongeza uzalishaji katika taifa.

2. Watu wanatakiwa kua na ustadi wa kufanya mazoezi kwa wingi.Hata mjamzito anapaswa kufanya mazoezi,ingawa si kazi ngumu.

3. KUHUSU BIMA YA AFYA; Serikali Kuhakikisha kila mwananchi anakua na BIMA afya ambayo anaweza kupata matibabu hospitali yoyote ndani ya nchi,serikali inaweza kuweka makato kulingana na kipato cha kila mtanzania,pia serikali inaweza kutunga sheria mfano ya kila mtanzania kuchangia shillingi 500 kwa kila wiki kwenye bidhaa inayonunuliwa na mtu yoyote ndani ya nchi na pesa yote hiyo iwe inakwenda kwa ajili ya kulipia mfuko wa BIMA ya afya wa taifa ili mfuko uweze kua na uwezo wa kuendelea kuhudumia watanzania wote kwa usawa.

Mfano kwa makadirio ya sasa Tanzania inaweza kua na watu 60,000,000 na kila mtanzania akichangia 500 sawa na shilingi sawa na shilingi bilioni 30,000,000,000/= kwa wiki,kwa mwaka mzima ni sawa na trilioni 1 na bilioni 560,000,000,000/= Kiasi hiki cha pesa kila mwaka kinaweza saidia kuhakikisha kila mtanzania anakua na BIMA ya afya itakayoweza kumsaidia apate matibabu bure na kufanya vipimo vidogo na vikubwa vya afya.

Mfano wapo ndugu zetu watanzania kwa bahati mbaya hupata matatizo ya magonjwa kama vile figo kufeli na kushindwa kufanya kazi hivyo itawahitaji wafanye kusafisha figo ambayo hugharimu karibu laki nane kila wiki na itamtaka afanye kwa Maisha yake yote, kwa wenye kushindwa kugharamia basi hupoteza Maisha yao na kufariki dunia,kama serikali itafanikiwa kufanya hivyo na kusaidia kila mtanzania kua na bima ya afya basi watanzania Zaidi ya milioni moja tutawaokoa kila mwaka na kuwaepusha na vifo.


MALENGO NA MIPANGO BORA YA MAENDELEO ENDELEVU KWA WATOTO WACHANGA HASA KATIKA UKUAJI WAO NA UCHUMI PIA.

1. Sera bora kwa familia.Mabadiliko kwenye maeneo ya kufanyia kazi yanahitaji sera kama vile likizo zinazolipwa kwa mzazi,manufaa ya kifedha,muda kwa kunyonyesha. Hakuna wakati ulio muhimu Zaidi kwa Maisha ya mtoto kama miaka yao ya kwanza utotoni,ndio mana tunaishauri serikali na biashara wawekeze kwenye sera ambazo haziinuia tu ukuaji wenye afya bali pia kujenga uhusiano mzuri kati ya wazazi na Watoto wao kwa manufaa ya kiuchumi na kijamii.


LIKIZO ZA KULEA ZILIZO NA MALIPO.

Takriban miezi sita inayolipwa kwa wazazi wote kati ya hiyo wiki 18 zinazolipwa zitengewe mama.serikalina biashara zinastahili kujikakamua hadi miezi 12 kwa Pamoja ya likizo inayolipwa.Ikiwa serikali itaamua kulipa kwa mama anapokua likizo ya kulea ina uhusiano mkubwa sana kua asilimia kubwa sana ya vifo kwa Watoto itapungua, pia itasaidia sana kupunguza kutelekeza Watoto hasa kwa wanawake wasio katika ndoa au mabwana.

Kuwepo kwa mazingira mazuri kunyonyesha na kukamua maziwa,uwepo wa vifaa bora huwawezesha akina mama kuendelea kunyonyesha Watoto hata baada ya kurudi kazini.Tukumbuke afya ndio msingi IMARA wa shughuli zako zote za Kila siku,bila afya Bora,IMARA ni vigumu sana kufikia malengo yako.

NINA IMANI UMEWEZA KUJIFUNZA JAMBO KUBWA NA NZURI KATIKA MAKALA HII NILIYOIANDAA,NAOMBA NIPIGIE KURA YAKO NIWEZE KUSHINDA.
 
Upvote 2
Andiko zuri sana mkuu. Afya ni muhimu kwa kila mwanadamu. Ila hapo kwenye kila mtanzania kuchangia 500 kwa wiki hakuna uhalisia.

Nimekumbuka inshu ya tozo, kama serikali ingejikita kutoa Bima ya afya kwa wote kupitia tozo nafikiri manung'uniko kwenye jamii yangepungua kiasi fulani. Maana kila mtanzania angeguswa.

Phase ya kujenga na kuboresha huduma za afya ingefuata baada ya kuhakikisha kila mtanzania ana Bima ya afya kupitia tozo za lazima wanazotoza bila kuleta mrejesho wa mara kwa mara kwenye jamii. Hatujui kwa mwezi wamekusanya kiasi gani na wameelekeza kwenye miradi ipi na progress ya hiyo miradi. All in all, Afya ipewe kipaumbele.
 
Andiko zuri sana mkuu. Afya ni muhimu kwa kila mwanadamu. Ila hapo kwenye kila mtanzania kuchangia 500 kwa wiki hakuna uhalisia.

Nimekumbuka inshu ya tozo, kama serikali ingejikita kutoa Bima ya afya kwa wote kupitia tozo nafikiri manung'uniko kwenye jamii yangepungua kiasi fulani. Maana kila mtanzania angeguswa.

Phase ya kujenga na kuboresha huduma za afya ingefuata baada ya kuhakikisha kila mtanzania ana Bima ya afya kupitia tozo za lazima wanazotoza bila kuleta mrejesho wa mara kwa mara kwenye jamii. Hatujui kwa mwezi wamekusanya kiasi gani na wameelekeza kwenye miradi ipi na progress ya hiyo miradi. All in all, Afya ipewe kipaumbele.
Asante sana sana.Nikweli sana mkuu,nimeona Kila mtanzania akichangia shilingi 500 kwa wiki na ikaenda Moja kwa Moja aweze kutibiwa bure ingekubalika vizuri sana na isingeleta manung'uniko lakini pia serikali inatakiwa kutoa kiasi kilichopatikana Kila wiki,hakika afya ndio msingi wa maisha ya Kila mtu duniani,tunaishi kwasababu afya zetu zimekua IMARA,lakini yanapokuja magonjwa afya zetu zinakua katika hati hati,inaweza kua ngumu Kila mtu kutoa 500 kwa wiki,lakini ingekua vyema sana kama serikali ingeiweka katika either kwenye Kodi au kwenye sehemu kama tozo ingewezekana sana na kiukweli tungekua tumefanikiwa sana.Naomba kura yako andiko langu liweze kushinda kaka.
 
UTANGULIZI:

AFYA:Ni hali kujisikia vizuri kimwili,kiakili,kiroho na kiutu bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote. Afya ya binadamu itakua njema kama atafuatilia kanuni na taratibu bora za afya.Afya inajumuisha mambo yafuatayo.

1. Chakula chenye virutubisho vyote vikiwemo protini,wanga,na mafuta(hiyo iwe katika asilimia kidogo sana).

2. Kuwa msafi wa mwili na mazingira yako,kama vile(kuoga na kusafisha mazingira yanayokuzunguka)

3. Mandhari yenye hewa safi husaidia katika kuhifadhi afya ya binadamu katika mwili na akili,mazingira wakati wote huchukuliwa kama jambo muhimu sana katika hali ya afya ya binadamu,hii humanisha mazingira ya asili, mazingira ya kujengwa na mazingira ya kijamii.Mfano wa vitu kama vile maji safi,hewa safi,makazi salama, huchangia afya nzuri hasa kwa afya za Watoto wachanga na Watoto.Utafiti mwingine unaonyesha kua ukosefu wa maeneoya burudani husababisha kupungua kwa afya na ustawi.4.Kwa mana ingine afya pia ni”hali ya mtu kutosumbuliwa na maumivu na udhaifu,Pamoja na uwezowa kutumia sehemuzote za mwili.


MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA KUJENGA AFYA IMARA KATIKA TAIFA.

1. Serikali inatakiwa kuandaa wataalamu wa mambo ya afya na kujenga hospitali nyingi hata vijijini kwasababu watu wengi hupoteza Maisha kwa kukosa huduma za afya,hii itasaidia kupunguza vifo na hasa Zaidi kwa Watoto wadogo na wachanga ambao ndio taifa la kesho,lakini pia itasaidia kutunza afya za wazee ambao kulingana na umri wao kinga zao za mwili zinaweza kushuka na kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa, itasaidia sana serikali kujenga hospitali nyingi sana mpaka vijijini kutunza afya za nguvu kazi kwenye jamii ili pia kuongeza uzalishaji katika taifa.

2. Watu wanatakiwa kua na ustadi wa kufanya mazoezi kwa wingi.Hata mjamzito anapaswa kufanya mazoezi,ingawa si kazi ngumu.

3. KUHUSU BIMA YA AFYA; Serikali Kuhakikisha kila mwananchi anakua na BIMA afya ambayo anaweza kupata matibabu hospitali yoyote ndani ya nchi,serikali inaweza kuweka makato kulingana na kipato cha kila mtanzania,pia serikali inaweza kutunga sheria mfano ya kila mtanzania kuchangia shillingi 500 kwa kila wiki kwenye bidhaa inayonunuliwa na mtu yoyote ndani ya nchi na pesa yote hiyo iwe inakwenda kwa ajili ya kulipia mfuko wa BIMA ya afya wa taifa ili mfuko uweze kua na uwezo wa kuendelea kuhudumia watanzania wote kwa usawa.

Mfano kwa makadirio ya sasa Tanzania inaweza kua na watu 60,000,000 na kila mtanzania akichangia 500 sawa na shilingi sawa na shilingi bilioni 30,000,000,000/= kwa wiki,kwa mwaka mzima ni sawa na trilioni 1 na bilioni 560,000,000,000/= Kiasi hiki cha pesa kila mwaka kinaweza saidia kuhakikisha kila mtanzania anakua na BIMA ya afya itakayoweza kumsaidia apate matibabu bure na kufanya vipimo vidogo na vikubwa vya afya.

Mfano wapo ndugu zetu watanzania kwa bahati mbaya hupata matatizo ya magonjwa kama vile figo kufeli na kushindwa kufanya kazi hivyo itawahitaji wafanye kusafisha figo ambayo hugharimu karibu laki nane kila wiki na itamtaka afanye kwa Maisha yake yote, kwa wenye kushindwa kugharamia basi hupoteza Maisha yao na kufariki dunia,kama serikali itafanikiwa kufanya hivyo na kusaidia kila mtanzania kua na bima ya afya basi watanzania Zaidi ya milioni moja tutawaokoa kila mwaka na kuwaepusha na vifo.


MALENGO NA MIPANGO BORA YA MAENDELEO ENDELEVU KWA WATOTO WACHANGA HASA KATIKA UKUAJI WAO NA UCHUMI PIA.

1. Sera bora kwa familia.Mabadiliko kwenye maeneo ya kufanyia kazi yanahitaji sera kama vile likizo zinazolipwa kwa mzazi,manufaa ya kifedha,muda kwa kunyonyesha. Hakuna wakati ulio muhimu Zaidi kwa Maisha ya mtoto kama miaka yao ya kwanza utotoni,ndio mana tunaishauri serikali na biashara wawekeze kwenye sera ambazo haziinuia tu ukuaji wenye afya bali pia kujenga uhusiano mzuri kati ya wazazi na Watoto wao kwa manufaa ya kiuchumi na kijamii.


LIKIZO ZA KULEA ZILIZO NA MALIPO.

Takriban miezi sita inayolipwa kwa wazazi wote kati ya hiyo wiki 18 zinazolipwa zitengewe mama.serikalina biashara zinastahili kujikakamua hadi miezi 12 kwa Pamoja ya likizo inayolipwa.Ikiwa serikali itaamua kulipa kwa mama anapokua likizo ya kulea ina uhusiano mkubwa sana kua asilimia kubwa sana ya vifo kwa Watoto itapungua, pia itasaidia sana kupunguza kutelekeza Watoto hasa kwa wanawake wasio katika ndoa au mabwana.

Kuwepo kwa mazingira mazuri kunyonyesha na kukamua maziwa,uwepo wa vifaa bora huwawezesha akina mama kuendelea kunyonyesha Watoto hata baada ya kurudi kazini.Tukumbuke afya ndio msingi IMARA wa shughuli zako zote za Kila siku,bila afya Bora,IMARA ni vigumu sana kufikia malengo yako.

NINA IMANI UMEWEZA KUJIFUNZA JAMBO KUBWA NA NZURI KATIKA MAKALA HII NILIYOIANDAA,NAOMBA NIPIGIE KURA YAKO NIWEZE KUSHINDA.
Tuna
 
Tunapataje afya nzuri wakati tunaishi chini ya dollar 💵 moja na tumehitimu na hatuna kazi naomba kupewa majibu sahihi katika hili
Ni jukumu la serikali kuweka mazingira wezeshi kwa watu wake ili waweze kupata ajira au waweze kujiajiri pia,jukumu kubwa sana lipo upande wa serikali,lakini pia serikali inatakiwa kuweka msingi IMARA juu ya afya za watu wote kwasababu afya ndio Kila kitu kwenye maisha yetu,ukiwa una BIMA ya afya ni rahisi kupata matibabu kulinganisha na ambaye Hana BIMA na Hana uwezo wa kulipia matibabu kwa cash,Kila mtu anajua gharama za maisha zimekua juu sasa ni wakati sahihi serikali kunusuru raia wake kwa ujumla..mikakati imara kutoka serikalini,
 
Ni jukumu la serikali kuweka mazingira wezeshi kwa watu wake ili waweze kupata ajira au waweze kujiajiri pia,jukumu kubwa sana lipo upande wa serikali,lakini pia serikali inatakiwa kuweka msingi IMARA juu ya afya za watu wote kwasababu afya ndio Kila kitu kwenye maisha yetu,ukiwa una BIMA ya afya ni rahisi kupata matibabu kulinganisha na ambaye Hana BIMA na Hana uwezo wa kulipia matibabu kwa cash,Kila mtu anajua gharama za maisha zimekua juu sasa ni wakati sahihi serikali kunusuru raia wake kwa ujumla..mikakati imara kutoka serikalini,
Tufanye serikali haiwezi we utakuja na mbadala gan katika hili
 
Tufanye serikali haiwezi we utakuja na mbadala gan katika hili
Mimi nitajitahidi kutoa elimu kwa jamii hasa vijana waweze kujiajiri ikiwezekana niweze kuwapa mitaji au niweze kuwatafutia ufadhili uweze kuwasaidia katika mitaji waweze kujiajiri,lakini pia ningekua kiongozi ningejitahidi sana kutafuta pesa ili niweze kuajiri wengi zaidi,ningwezesha na tasisi ziweze kuajiri pia ili tatizo la ajiri liweze kuondoka kabisa na vijana waweze kupata maisha mazuri
 
Mimi nitajitahidi kutoa elimu kwa jamii hasa vijana waweze kujiajiri ikiwezekana niweze kuwapa mitaji au niweze kuwatafutia ufadhili uweze kuwasaidia katika mitaji waweze kujiajiri,lakini pia ningekua kiongozi ningejitahidi sana kutafuta pesa ili niweze kuajiri wengi zaidi,ningwezesha na tasisi ziweze kuajiri pia ili tatizo la ajiri liweze kuondoka kabisa na vijana waweze kupata maisha mazuri
Naomba usisahau kupigia kura yako kwenye andiko langu mkuu
 
Back
Top Bottom