Ghalib01
Member
- Aug 29, 2022
- 15
- 18
Nakala yangu hii nitazungumzia AFYA katika IMANI POTOFU, Imani yangu kupitia Nakala hii itasaidia kuleta MABADILIKO KWENYE JAMII, Nitatumia Sayansi ya Uumbaji katika hili, lakini kabla ya kwenda kwenye Mada husika, kwanza tuijue hii Sayansi ya Uumbaji ni nini!? Sayansi ya Uumbaji ni MSINGI wa DUNIA ama MWANZO wa SAYARI, lakini pia Sayansi ya Uumbaji ina Kanuni zake, miongoni mwa Kanuni zake, Viunganishi vya maneno huwa hatuvifanyii Sayansi ya Uumbaji yaani hatuvifanyii hesabu, sasa tuijue Sayansi ya Uumbaji kupitia Sayansi ya Uumbaji, tazama
Sayansi Uumbaji kinamba
S=19, A=1, Y=25, A=1, N=14, S=19, I=9, U=21, U=21, M=13, B=2, A=1, J=10, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+9+1+2+5+1+1+4+1+9+9+2+1+2+1+1+3+2+1+1+0+9= 66, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 na MSINGI wa DUNIA ni hivyo hivyo, tazama
Msingi Dunia kinamba
M=13, S=19, I=9, N=14, G=7, I=9, D=4, U=21, N=14, I=9, A=1
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+1+9+9+1+4+7+9+4+2+1+1+4+9+1= 66, hivyo MSINGI wa DUNIA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA, lakini pia ni MWANZO wa SAYARI, tazama
Mwanzo Sayari kinamba
M=13, W=23, A=1, N=14, Z=26, O=15, S=19, A=1, Y=25, A=1, R=18, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+2+3+1+1+4+2+6+1+5+1+9+1+2+5+1+1+8+9= 66, hivyo MWANZO wa SAYARI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MWANZO wa SAYARI pia, na imekuwa hivyo kwa kuwa Dunia ni SAYARI pia, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA na pia ni MWANZO wa SAYARI. Hatujatumia Viunganishi vya maneno kwa sababu Kanuni ya Sayansi ya Uumbaji huwa hatuvifanyii hesabu Viunganishi vya maneno, na izo Nambari na Herufi zinatokana na mpangilio wa Namba na Alfabeti.
Baada ya kuijua Sayansi ya Uumbaji, kabla ya kwenda kwenye Mada, nimependa kukujuza kwamba Mimi GHALIB ni DOCTOR kimaana nitakachokiandika hapa ninakifahamu vizuri, Sayansi ya Uumbaji inathibitisha kwamba Mimi GHALIB ni DOCTOR, tazama
Ghalib kinamba
G=7, H=8, A=1, L=12, I=9, B=2
Tuzijumlishe namba moja moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 7+8+1+1+2+9+2= 30, hivyo Mimi GHALIB kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30, na DOCTOR ni hivyo hivyo, tazama
Doctor kinamba
D=4, O=15, C=3, T=20, O=15, R=18,
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 4+1+5+3+2+0+1+5+1+8= 30, hivyo DOCTOR kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30, kama nilivyo Mimi GHALIB ni namba 30, kimaana Mimi GHALIB ni DOCTOR, iyo ni Sayansi ya Uumbaji imenithibitisha kwamba Mimi ni DOCTOR lakini pia Nakala hii itathibitisha pia kwamba Mimi ni DOCTOR.
Hivyo basi hapa nitasimama kama DOCTOR lakini pia nitasimama kama Mtumishi wa MUNGU, kwa sababu ya Mada husika ambayo ni AFYA KATIKA IMANI POTOFU.
Je IMANI POTOFU ni nini!? IMANI POTOFU ni hali ya Akili ya mtu kupokea jambo kibubusa ama kufata mkumbo pasipo kuwa na Elimu. Kutokana na maana hii Sayansi ya Uumbaji inatujuza kwamba AKILI ina hitaji ELIMU juu ya jambo lolote lile na SICHENGINECHO, na ndio maana kuna Uhusiano baina ya AKILI na ELIMU, Sayansi ya Uumbaji inathibitisha ilo, tazama
Akili kinamba
A=1, K=11, I=9, L=12, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+1+1+9+1+2+9= 24, hivyo AKILI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24, na Elimu ni hivyo hivyo, tazama
Elimu kinamba
E=5, L=12, I=9, M=13, U=21
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 5+1+2+9+1+3+2+1= 24, hivyo ELIMU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 kama ilivyo AKILI ni namba 24 kimaana kuna Uhusiano baina ya AKILI na ELIMU, na hii ina maana kwamba AKILI ina hitaji ELIMU na SICHENGINECHO.
Baada ya kujua kwamba AKILI ina hitaji ELIMU juu ya jambo lolote lile, sasa ni muda wa AKILI yako kupata ELIMU inayotakiwa, kabla ya CORONA na baada ya CORONA watu wamekuwa na IMANI POTOFU katika habari ya namba ya MPINGA KRISTO yaani 666 ama 616, kabla ya kwenda mbele kwanza AKILI yako ipate ELIMU juu ya namba hizo, namba izo haziwez kuwa kitu chengine isipo kuwa ni WATU ama MTU, kwa kuwa habari za namba izo zinapatikana kwenye BIBLIA tutatumia BIBLIA kuthibitisha kwamba namba izo zinawahusu WATU ama MTU, turejee kwenye BIBLIA
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Yohana 6:66
Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.
Tumeona hapo kwenye andiko kuna WANAFUNZI wa YESU wamerudi nyuma na kumpinga, namba za andiko ilo ni 666 kuashiria kwamba hao ni WAPINGA KRISTO na ndio maana nikakuambia MPINGA KRISTO hakiwez kuwa chengine isipo kuwa ni WATU ama MTU. Baada ya kujua 666 inahusu WATU sasa tumalizane na namba hii 616, turejee kwenye BIBLIA
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Luka 6:16
na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyekuwa msaliti.
Andiko hili anazungumziwa Yuda Iskariote yaani aliyemsaliti YESU, kwa kuwa Yuda Iskariote ni MPINGA KRISTO ndiyo maana namba za andiko ni 616, na ndiyo maana nikakuambia namba hizi 666, 616 za MPINGA KRISTO zinawahusu WATU ama MTU na SICHENGINECHO, kwa kuwa AKILI ina hitaji ELIMU basi ELIMU hii ilete MABADILIKO kwenye AKILI yako, izo namba kwenye hayo maandiko hazikuekwa kibahati mbaya kimaana MUNGU NIKO ameziweka kutoa UJUMBE, na kama inavyosema BIBLIA kwamba NIKO ni MUNGU na Sayansi ya Uumbaji inathibitisha ilo tazama,
Mungu kinamba
M=13, U=21, N=14, G=7, U=21
Tuzijumlishe namba moja moja ndo Formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani ni 1+3+2+1+1+4+7+2+1= 22, hivyo MUNGU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 na NIKO ni hivyo hivyo, tazama
Niko kinamba
N=14, I=9, K=11, O=15
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+4+9+1+1+1+5= 22, hivyo NIKO kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 kama alivyo MUNGU ni namba 22, kimaana MUNGU ni NIKO. Hivyo Sayansi ya Uumbaji imekueka HURU usije sema Sayansi ya Uumbaji haimjui MUNGU NIKO hivyo ELIMU hii batili, sivyo hivyo, ata BIBLIA ambayo tumetumia kama rejea yetu inasema hivyo hivyo, MUNGU ni NIKO, rejea
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
Hivyo Sayansi ya Uumbaji inamjua MUNGU NIKO, hivyo ELIMU hii haiwezi kuwa BATILI na ndio maana nikasema nitasimama kama DOCTOR lakini pia nitasimama kama Mtumishi.
Sasa tuendelee baada ya kujua namba hizi 666, 616 zinawahusu WATU ama MTU na SICHENGINECHO, baada ya kuja CORONA kulizuka IMANI POTOFU kwamba CORONA ni 666 na CHANJO yake ni CHAPA, kutokana na IMANI POTOFU iyo wapo waliokufa na CORONA kwa IMANI POTOFU kwamba CHANJO ni CHAPA na wapo waliopata CORONA baada ya kuikataa CHANJO kwamba ni CHAPA, lakini Msema kweli yaani Sayansi ya Uumbaji inathibitisha kwamba CHANJO ni KINGA na si CHAPA, tazama
Chanjo kinamba
C=3, H=8, A=1, N=14, J=10, O=15
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 3+8+1+1+4+1+0+1+5= 24, hivyo CHANJO kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 na KINGA ni hivyo hivyo, tazama
Kinga kinamba
K=11, I=9, N=14, G=7, A=1
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+1+9+1+4+7+1= 24, hivyo KINGA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 kama ilivyo CHANJO ni namba 24 kimaana CHANJO ni KINGA.
Kiukweli CHANJO ni KINGA hivyo kupitia ELIMU hii JAMII ibadilike katika Imani za hizi namba 666, 616 kimaana namba izo ndiyo Chanzo cha IMANI POTOFU, namba hizi 666,616 haziwez kuwa chengine nje ya WATU AMA MTU, pia naitaka jamii kutohatarisha AFYA zao kwa IMANI POTOFU.
Sayansi Uumbaji kinamba
S=19, A=1, Y=25, A=1, N=14, S=19, I=9, U=21, U=21, M=13, B=2, A=1, J=10, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+9+1+2+5+1+1+4+1+9+9+2+1+2+1+1+3+2+1+1+0+9= 66, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 na MSINGI wa DUNIA ni hivyo hivyo, tazama
Msingi Dunia kinamba
M=13, S=19, I=9, N=14, G=7, I=9, D=4, U=21, N=14, I=9, A=1
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+1+9+9+1+4+7+9+4+2+1+1+4+9+1= 66, hivyo MSINGI wa DUNIA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA, lakini pia ni MWANZO wa SAYARI, tazama
Mwanzo Sayari kinamba
M=13, W=23, A=1, N=14, Z=26, O=15, S=19, A=1, Y=25, A=1, R=18, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+2+3+1+1+4+2+6+1+5+1+9+1+2+5+1+1+8+9= 66, hivyo MWANZO wa SAYARI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MWANZO wa SAYARI pia, na imekuwa hivyo kwa kuwa Dunia ni SAYARI pia, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA na pia ni MWANZO wa SAYARI. Hatujatumia Viunganishi vya maneno kwa sababu Kanuni ya Sayansi ya Uumbaji huwa hatuvifanyii hesabu Viunganishi vya maneno, na izo Nambari na Herufi zinatokana na mpangilio wa Namba na Alfabeti.
Baada ya kuijua Sayansi ya Uumbaji, kabla ya kwenda kwenye Mada, nimependa kukujuza kwamba Mimi GHALIB ni DOCTOR kimaana nitakachokiandika hapa ninakifahamu vizuri, Sayansi ya Uumbaji inathibitisha kwamba Mimi GHALIB ni DOCTOR, tazama
Ghalib kinamba
G=7, H=8, A=1, L=12, I=9, B=2
Tuzijumlishe namba moja moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 7+8+1+1+2+9+2= 30, hivyo Mimi GHALIB kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30, na DOCTOR ni hivyo hivyo, tazama
Doctor kinamba
D=4, O=15, C=3, T=20, O=15, R=18,
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 4+1+5+3+2+0+1+5+1+8= 30, hivyo DOCTOR kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30, kama nilivyo Mimi GHALIB ni namba 30, kimaana Mimi GHALIB ni DOCTOR, iyo ni Sayansi ya Uumbaji imenithibitisha kwamba Mimi ni DOCTOR lakini pia Nakala hii itathibitisha pia kwamba Mimi ni DOCTOR.
Hivyo basi hapa nitasimama kama DOCTOR lakini pia nitasimama kama Mtumishi wa MUNGU, kwa sababu ya Mada husika ambayo ni AFYA KATIKA IMANI POTOFU.
Je IMANI POTOFU ni nini!? IMANI POTOFU ni hali ya Akili ya mtu kupokea jambo kibubusa ama kufata mkumbo pasipo kuwa na Elimu. Kutokana na maana hii Sayansi ya Uumbaji inatujuza kwamba AKILI ina hitaji ELIMU juu ya jambo lolote lile na SICHENGINECHO, na ndio maana kuna Uhusiano baina ya AKILI na ELIMU, Sayansi ya Uumbaji inathibitisha ilo, tazama
Akili kinamba
A=1, K=11, I=9, L=12, I=9
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+1+1+9+1+2+9= 24, hivyo AKILI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24, na Elimu ni hivyo hivyo, tazama
Elimu kinamba
E=5, L=12, I=9, M=13, U=21
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 5+1+2+9+1+3+2+1= 24, hivyo ELIMU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 kama ilivyo AKILI ni namba 24 kimaana kuna Uhusiano baina ya AKILI na ELIMU, na hii ina maana kwamba AKILI ina hitaji ELIMU na SICHENGINECHO.
Baada ya kujua kwamba AKILI ina hitaji ELIMU juu ya jambo lolote lile, sasa ni muda wa AKILI yako kupata ELIMU inayotakiwa, kabla ya CORONA na baada ya CORONA watu wamekuwa na IMANI POTOFU katika habari ya namba ya MPINGA KRISTO yaani 666 ama 616, kabla ya kwenda mbele kwanza AKILI yako ipate ELIMU juu ya namba hizo, namba izo haziwez kuwa kitu chengine isipo kuwa ni WATU ama MTU, kwa kuwa habari za namba izo zinapatikana kwenye BIBLIA tutatumia BIBLIA kuthibitisha kwamba namba izo zinawahusu WATU ama MTU, turejee kwenye BIBLIA
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Yohana 6:66
Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena.
Tumeona hapo kwenye andiko kuna WANAFUNZI wa YESU wamerudi nyuma na kumpinga, namba za andiko ilo ni 666 kuashiria kwamba hao ni WAPINGA KRISTO na ndio maana nikakuambia MPINGA KRISTO hakiwez kuwa chengine isipo kuwa ni WATU ama MTU. Baada ya kujua 666 inahusu WATU sasa tumalizane na namba hii 616, turejee kwenye BIBLIA
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Luka 6:16
na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyekuwa msaliti.
Andiko hili anazungumziwa Yuda Iskariote yaani aliyemsaliti YESU, kwa kuwa Yuda Iskariote ni MPINGA KRISTO ndiyo maana namba za andiko ni 616, na ndiyo maana nikakuambia namba hizi 666, 616 za MPINGA KRISTO zinawahusu WATU ama MTU na SICHENGINECHO, kwa kuwa AKILI ina hitaji ELIMU basi ELIMU hii ilete MABADILIKO kwenye AKILI yako, izo namba kwenye hayo maandiko hazikuekwa kibahati mbaya kimaana MUNGU NIKO ameziweka kutoa UJUMBE, na kama inavyosema BIBLIA kwamba NIKO ni MUNGU na Sayansi ya Uumbaji inathibitisha ilo tazama,
Mungu kinamba
M=13, U=21, N=14, G=7, U=21
Tuzijumlishe namba moja moja ndo Formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani ni 1+3+2+1+1+4+7+2+1= 22, hivyo MUNGU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 na NIKO ni hivyo hivyo, tazama
Niko kinamba
N=14, I=9, K=11, O=15
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+4+9+1+1+1+5= 22, hivyo NIKO kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 kama alivyo MUNGU ni namba 22, kimaana MUNGU ni NIKO. Hivyo Sayansi ya Uumbaji imekueka HURU usije sema Sayansi ya Uumbaji haimjui MUNGU NIKO hivyo ELIMU hii batili, sivyo hivyo, ata BIBLIA ambayo tumetumia kama rejea yetu inasema hivyo hivyo, MUNGU ni NIKO, rejea
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
Hivyo Sayansi ya Uumbaji inamjua MUNGU NIKO, hivyo ELIMU hii haiwezi kuwa BATILI na ndio maana nikasema nitasimama kama DOCTOR lakini pia nitasimama kama Mtumishi.
Sasa tuendelee baada ya kujua namba hizi 666, 616 zinawahusu WATU ama MTU na SICHENGINECHO, baada ya kuja CORONA kulizuka IMANI POTOFU kwamba CORONA ni 666 na CHANJO yake ni CHAPA, kutokana na IMANI POTOFU iyo wapo waliokufa na CORONA kwa IMANI POTOFU kwamba CHANJO ni CHAPA na wapo waliopata CORONA baada ya kuikataa CHANJO kwamba ni CHAPA, lakini Msema kweli yaani Sayansi ya Uumbaji inathibitisha kwamba CHANJO ni KINGA na si CHAPA, tazama
Chanjo kinamba
C=3, H=8, A=1, N=14, J=10, O=15
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 3+8+1+1+4+1+0+1+5= 24, hivyo CHANJO kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 na KINGA ni hivyo hivyo, tazama
Kinga kinamba
K=11, I=9, N=14, G=7, A=1
Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+1+9+1+4+7+1= 24, hivyo KINGA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 24 kama ilivyo CHANJO ni namba 24 kimaana CHANJO ni KINGA.
Kiukweli CHANJO ni KINGA hivyo kupitia ELIMU hii JAMII ibadilike katika Imani za hizi namba 666, 616 kimaana namba izo ndiyo Chanzo cha IMANI POTOFU, namba hizi 666,616 haziwez kuwa chengine nje ya WATU AMA MTU, pia naitaka jamii kutohatarisha AFYA zao kwa IMANI POTOFU.
Upvote
0