Afya mgogoro

Afya mgogoro

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Wataalamu wa Afya nisaidieni juu ya hili. mimi nina mwaka (1) . tangu niwe na tatizo la kukosa hamu ya chakula, kuhisi kichefuchefu, naombeni mchango wenu hata ushauri wenu nikwanamna gani nitaweza kupona kwani nimekonda kishenzi. nakaribia kufa.
 
Wataalamu wa Afya nisaidieni juu ya hili. mimi nina mwaka (1) . tangu niwe na tatizo la kukosa hamu ya chakula, kuhisi kichefuchefu, naombeni mchango wenu hata ushauri wenu nikwanamna gani nitaweza kupona kwani nimekonda kishenzi. nakaribia kufa.

KWA MTU MWENYE KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.

attachment.php
attachment.php






Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.


Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula chakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na


hukuongeza hamu ya kula na kukufanya uwe ni mchangamfu.
 

Attachments

  • juisi ya tangawizi.jpg
    juisi ya tangawizi.jpg
    17.7 KB · Views: 135
  • Lemon-Juice.jpg
    Lemon-Juice.jpg
    84.2 KB · Views: 132
Back
Top Bottom