Afya ya Akili: Chanzo, viashiria na jinsi ya kukabilina nayo

Afya ya Akili: Chanzo, viashiria na jinsi ya kukabilina nayo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kwa asilimia kubwa ya utamaduni wetu hapa Tanzania mtu anapopitia hali ngumu kiakili huwa ana dhaniwa katika nadharia za kuwa anavuta bangi, ameishiwa (amefulia), anajifanya kujitenga tenga, amelogwa, sio shupavu, etc

Lakini mental disorder is real!!!, na sisi Tanzania tupo nyuma sana katika hili.

Na muda baada ya muda, tumeona vijana wakileta nyuzi nyingi humu kuhusu kukataa tamaa kutokana hali ngumu wanazopitia either kimaisha au kiakili. Wengine wameenda too far hadi kusema hawaoni umuhimu wao katika haya maisha.

Kiurahisi unaweza mchukulia poa huyu mtu, ni kwa sababu tu haupitii msongo na pressure anayo-face.

Uzi uwepo, uwe one stop ta kupata madini full kuhusu ushauri, elimu, faraja na namna ya kukabili ugumu wowote wa kiakili.

Thanks.
 
Mi nashauri hata ijitokeze NGO au PPP au serikeli yenyewe kupitia mabaraza ya sanaa....

Tutengeneze mradi wa kufanya utafsiri dubbing wa filamu zenye maudhui ya kuelimisha kuhusu afya ya akili.

Kiukweli mikanda mingi sana ukiangalia utakuta mzungu akipatwa na tatizo kuu lolote sehemu mojawapo ataattend ni THERAPY. Na akiwa humo atapewa ushauri unaowajenga watu kuielewa hali na suluhisho.

Tatizo litaelezewa kikamilifu, na kuna muvi zitafocus kwenye tatizo moja tu na kulifafanua hadi mwisho. Idea ya hii niliiweka kwenye project plan ya SAHILI MOVIES- Kutafsiri movies zenye ujumbe mzuri kwenda Kiswahili na lugha zote tu. Natamani kuendelea kuifanyia kazi project plan ipo kabisa. Mwenye interest tuwasiliane.

Hii imetumia akili ya watanzania walio wengi wanaweza zaidi kuangalia movie na michezo na series hizi drama. Hiyo ni nafasi kubwa sana ya kuleta mapinduzi ya afya ya akili Bongo
 
Tatizo la afya ya akili halitibiwi kwa kusoma nyuzi ni lazima mkutane face to face na mshauri (therapist) muongee ajue tatizo lako linaanzia wapi

Atleast baada ya kuwa mmeshajenga urafiki na kuaminiana mnaweza mkawa mnawasiliana kwa simu hali fulani ikijirudia

Therapists ni kama rafiki huwa wanakuwa karibu sana na clients wao
 
Mi nashauri hata ijitokeze NGO au PPP au serikeli yenyewe kupitia mabaraza ya sanaa....

Tutengeneze mradi wa kufanya utafsiri dubbing wa filamu zenye maudhui ya kuelimisha kuhusu afya ya akili.

Kiukweli mikanda mingi sana ukiangalia utakuta mzungu akipatwa na tatizo kuu lolote sehemu mojawapo ataattend ni THERAPY. Na akiwa humo atapewa ushauri unaowajenga watu kuielewa hali na suluhisho.

Tatizo litaelezewa kikamilifu, na kuna muvi zitafocus kwenye tatizo moja tu na kulifafanua hadi mwisho. Idea ya hii niliiweka kwenye project plan ya SAHILI MOVIES. Natamani kuendelea kuifanyia kazi.

Hii imetumia akili ya watanzania walio wengi wanaweza zaidi kuangalia movie na michezo na series hizi drama. Hiyo ni nafasi kubwa sana ya kuleta mapinduzi ya afya ya akili Bongo
PONGEZI KWAKO MKUU.

PONGEZI SANAA.
 
Hapana boss,

Hio sio kweli,

Mkuu anaweza amka anapitia msongo mkali, then akapitia Jf akakutana ushauri kibao sanaaaa, unafikiri hauwezi kumua affect positively angalau.

Kwani hao wanaondika nyuzi kutaka ushauri, wanataka nini?

Mental disorder zinatofautiana, lakini pia watu wanaweza pata ideas humu namna ya kumsadia alie athirika

So unaposema nyuzi hazina manufaa

Hio ni big noooooooo!!!
Tatizo la afya ya akili haliponywi kwa kusom nyuzi ni lazima mkutane face to face na mshauri muongee ajue tatizo lako

Atleast kidogo baada ya hapo mnaweza mkawa mnawasiliana kwa simu hali fulani ikirudia
na
 
Watu wana personality tofauti kuna wengine hawawezi sema moja kwa moja wanavyojiskia ila zikipostiwa dalili za ugonjwa mmoja mmoja wa akili dalili zake na nini cha kufanya huenda ikawa na msaada Pia itengenezwe link ya ku connect na watu wa saikojia wengine wanajua wanasumbuliwa ila hawajua waende wapi
 
Watu wana personality tofauti kuna wengine hawawezi sema moja kwa moja wanavyojiskia ila zikipostiwa dalili za ugonjwa mmoja mmoja wa akili dalili zake na nini cha kufanya huenda ikawa na msaada Pia itengenezwe link ya ku connect na watu wa saikojia wengine wanajua wanasumbuliwa ila hawajua waende wapi
Moderator
Maxence Melo

Bonge la idea
 
Mi nashauri hata ijitokeze NGO au PPP au serikeli yenyewe kupitia mabaraza ya sanaa....

Tutengeneze mradi wa kufanya utafsiri dubbing wa filamu zenye maudhui ya kuelimisha kuhusu afya ya akili.

Kiukweli mikanda mingi sana ukiangalia utakuta mzungu akipatwa na tatizo kuu lolote sehemu mojawapo ataattend ni THERAPY. Na akiwa humo atapewa ushauri unaowajenga watu kuielewa hali na suluhisho.

Tatizo litaelezewa kikamilifu, na kuna muvi zitafocus kwenye tatizo moja tu na kulifafanua hadi mwisho. Idea ya hii niliiweka kwenye project plan ya SAHILI MOVIES- Kutafsiri movies zenye ujumbe mzuri kwenda Kiswahili na lugha zote tu. Natamani kuendelea kuifanyia kazi project plan ipo kabisa. Mwenye interest tuwasiliane.

Hii imetumia akili ya watanzania walio wengi wanaweza zaidi kuangalia movie na michezo na series hizi drama. Hiyo ni nafasi kubwa sana ya kuleta mapinduzi ya afya ya akili Bongo
Moderator
Maxence Melo

Bonge la idea.
 
AFYA YA AKILI
Afya ya akili ni hali ya ustawi wa kiakili ambayo huwawezesha watu kukabiliana na stress za maisha, kutambua uwezo wao, kujifunza vizuri na kufanya kazi vizuri, na kuchangia katika jamii yao.

Ni sehemu muhimu ya afya na ustawi ambayo inasisitiza uwezo wetu binafsi na wa pamoja wa kufanya maamuzi, kujenga uhusiano na kuunda ulimwengu tunamoishi.

Afya ya akili ni haki ya msingi ya binadamu. Na ni muhimu kwa maendeleo ya kibinafsi, ya kijamii na ya kijamii na kiuchumi.

Hali duni za afya ya akili ni pamoja na matatizo ya akili na ulemavu wa kisaikolojia na kijamii pamoja na hali nyingine za kiakili zinazohusiana na dhiki kubwa, kuharibika kwa utendaji, au hatari ya kujidhuru.

Watu walio na hali duni ya afya ya akili wana uwezekano mkubwa wa kupata viwango vya chini vya ustawi wa akili, lakini hii sio kila wakati au lazima iwe hivyo.
 
Hapana boss,

Hio sio kweli,

Mkuu anaweza amka anapitia msongo mkali, then akapitia Jf akakutana ushauri kibao sanaaaa, unafikiri hauwezi kumua affect positively angalau.

Kwani hao wanaondika nyuzi kutaka ushauri, wanataka nini?

Mental disorder zinatofautiana, lakini pia watu wanaweza pata ideas humu namna ya kumsadia alie athirika

So unaposema nyuzi hazina manufaa

Hio ni big noooooooo!!!

na
Mimi nimeongea kiprofessional

Tofautisha mtu mwenye anataka ushauri na mwenye tatizo la afya akili

Tatizo la afya ya akili ni ugonjwa
 
Mimi nimeongea kiprofessional

Tofautisha mtu mwenye anataka ushauri na mwenye tatizo la afya akili

Tatizo la afya ya akili ni ugonjwa
Hata uwe professor.

Sasa nani kasema kuna tiba JF?????

Mimi nimeongea ushauri. Soma uzi kwanza.
 
Back
Top Bottom