Afya ya Akili: Chanzo, viashiria na jinsi ya kukabilina nayo

Afya ya Akili: Chanzo, viashiria na jinsi ya kukabilina nayo

ni sawa ila tujue duniani fadhaa (stress) hazitokaa zitoweke.

tumtwike Yesu fadhaa zetu, naye atazibeba.

"njooni ninyi nyote msumbikao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha"

Mathayo 11 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁸ Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
²⁹ Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
³⁰ kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

1 Petro 5 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake;
⁷ huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.
 
Tatizo la afya ya akili halitibiwi kwa kusoma nyuzi ni lazima mkutane face to face na mshauri (therapist) muongee ajue tatizo lako linaanzia wapi

Atleast baada ya kuwa mmeshajenga urafiki na kuaminiana mnaweza mkawa mnawasiliana kwa simu hali fulani ikijirudia

Therapists ni kama rafiki huwa wanakuwa karibu sana na clients wao
Therapist mwenyewe unayeenda kutaka naye ana tatizo la afya ya akili 😄

Ova
 
Wafilipi 4 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
⁷ Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
 
Wanasaikolojia wa D mbili mnafarjiana tu hapa maana stress zinawapeleka puta mno.
 
Tatizo la afya ya akili halitibiwi kwa kusoma nyuzi ni lazima mkutane face to face na mshauri (therapist) muongee ajue tatizo lako linaanzia wapi

Atleast baada ya kuwa mmeshajenga urafiki na kuaminiana mnaweza mkawa mnawasiliana kwa simu hali fulani ikijirudia

Therapists ni kama rafiki huwa wanakuwa karibu sana na clients wao
hivi Therapist wao huwa hawapati tatizo la afya ya akili? kwa maana wanajua solution
 
Ukiwa na msongo wa mawazo unapiga fundo moja la K-Vant yanapunguaa ...... kumbe umeahirisha tatizo ni muhimu kupata tiba sahihi na kwa muda sahihi
 
Tayari afya ya akili imeanza kutaradadi humu kwny uzi...😄😄😄
 
Hao wanasaikolojia wenyewe sasa wa hapa bongo mgonjwa ana nafuu, therapist ni wa kuwekwa ICU na bado ndio ana hudumia wagonjwa
 
Tatizo la afya ya akiki afrika lina sababishwa sana na ujio wa usawa wa kijinsia.

Mwanamke anataka kupindua mamlaka ya mwanaume. Unategemea matokeo yake ni nini?
 
Unashangaa anaanza kukukalipia hahaha
Kuna yule dokta kutoka muhimbili
Alisemaga kwenye kila watu 10, 4 ni vichaa raia walikuja juu 😄
Juzi kati huko kinyerezi dada alikuwa NMB aliuwawa na kunyongwa na mme wake,ndg jamaa walisema mme wake akipiga mtungi dish huwa linacheza na kichwani mwake hakuwa sawa 😄
Na ukitaka kujuwa vichaa wengi angalia watu wakiwa bararani wanavyoendesha magari

Ova
 
Kuna yule dokta kutoka muhimbili
Alisemaga kwenye kila watu 10, 4 ni vichaa raia walikuja juu 😄
Juzi kati huko kinyerezi dada alikuwa NMB aliuwawa na kunyongwa na mme wake,ndg jamaa walisema mme wake akipiga mtungi dish huwa linacheza na kichwani mwake hakuwa sawa 😄
Na ukitaka kujuwa vichaa wengi angalia watu wakiwa bararani wanavyoendesha magari

Ova
Hahahahah

Kweli mkuu

Ndio maana tunakuja kufarijiana humu maaana hao tunowategemea ni wahanga kama sisi hahahah
 
Hivi ADHD inatambulikaje kiswahili ??
 
Back
Top Bottom