Kujijali (Self-Care) kuna maana tofauti kwa kila Mtu, na wote tuna namna yetu ya kujijali ili kupunguza Msongo wa Mawazo (Stress) na kulinda Afya ya Akili
Kwa wengine, kujionesha Upendo ni kwa kujinunulia kitu kipya, kusafiri au kutembelea sehemu mpya, kutenga muda wa kupumzika au kufanya mazoezi
Kujijali kunamaanisha nini kwako? Ni vitu gani unajifanyia kama ishara ya kujijali ili kulinda Afya yako ya Akili?
Kila jumapili nafanya usafi geto maliwatoni pia napiga usafi. By saa 4 asubuhi nimemaliza napika pilau langu kama sio chips kavu na pepsi yangu. Nipo kwenye screen naangalia muvi pole pole nashusha maji