lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
afya ya mama mzazi wa msanii maarufu DIAMOND si shwari baada ya kubadilika ghafla na kukimbiza katika hospital ya TMJ. wakuu maombi yenu yanatakiwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King Kong IIITatizo n nini wadau?? Mungu amponye.
Tatizo n nini wadau?? Mungu amponye.
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na watu wanaomhusu...ugonjwa si kitu cha kutangaza adharani, ndio maana hata Daktari haruhusiwi kuongelea ugonjwa wa mteja wake adharani labda mpaka apewe ruhusa na mgonjwa mwenyewe. Sababu hata ukijua anaumwa nini humsaidii lolote!
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Ngoja nikukumbushe kuwa Haupo Facebook upo Jamiiforums Home of Great Thinkers
Facebook hata Layman na Wajinga wanayokwenye simu zao
Ngoja nikukumbushe kuwa Haupo Facebook upo Jamiiforums Home of Great Thinkers
Facebook hata Layman na Wajinga wanayokwenye simu zao