lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
King Kong IIITatizo n nini wadau?? Mungu amponye.
Tatizo n nini wadau?? Mungu amponye.
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na watu wanaomhusu...ugonjwa si kitu cha kutangaza adharani, ndio maana hata Daktari haruhusiwi kuongelea ugonjwa wa mteja wake adharani labda mpaka apewe ruhusa na mgonjwa mwenyewe. Sababu hata ukijua anaumwa nini humsaidii lolote!
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Diamond ole wako umfanye mama yako kama walichomfanyia P square mama yao. Tunakuangalia tu hatusemi kitu ILA OLE WAKO
Ngoja nikukumbushe kuwa Haupo Facebook upo Jamiiforums Home of Great Thinkers
Facebook hata Layman na Wajinga wanayokwenye simu zao
Ngoja nikukumbushe kuwa Haupo Facebook upo Jamiiforums Home of Great Thinkers
Facebook hata Layman na Wajinga wanayokwenye simu zao