ashrei brown
Member
- Dec 10, 2012
- 9
- 3
Kuna mtu anapata black spots usoni vinakuwa na kusambaa usoni, huwa anasumbuliwa sana na mionz ya jua...ametumia mafuta mbalimbali hata wanayo tumia ma albino lakin hayajamsaidia...ushauri wa kitabibu please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.