Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
[emoji23]hujawai kuumwa au kuuguliwa [emoji124][emoji124]hivyo kwako ni vyema kabisa kuendelea kukazia.Siku ile utajua kuwa sayansi iliyopo duniani hapa kuna wakati haiwezi ponyesha hata kidonda achilia mbali kilimi siku hiyo ndipo akili zitakaa sawa ukiona una rest in peace[emoji120]Nakazia
Nimeona hizo prednisolone nimeshtuka aisee hizo dawa zinashusha kinga mwili ballaaa unaweza pasta magonjwa mengine kama zitatumika muda mrefu..Hio ni allergy,
Hapo itabidi uishi na loratadine na Prednisolone maisha
Dr. Onesmo, Kitengule Hospital, iko Tegeta Kibaoni.Nielekeze mkuu
Nenda Ekenywa pale ndo aanaspecialiat wataangalia hadi ndani ya kifuaWana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.
Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.
Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
- Nyama
- Samaki
- Kalanga
- Maharagwe
- Dagaa, nk
Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;
- Chapati
- Mandazi, nk
Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.
Nishapima;
- X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
- Makohozi yakuotesha negative
- HIV - negative
- Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine
Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!
Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.
Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru. [emoji33]
Badilisha hospita na uonane na specialist. Mara nyingine unaweza kupitia hospital na kwa madakta wengi kabla tatizo halijagundulika.Imeisha miaka kumi sasa niko nahili tatizo
Nimefanyiwa xrey za kifuan katika hospital za serikal na binaf
kakate kilimi mkuu utaponaWana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.
Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.
Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
- Nyama
- Samaki
- Kalanga
- Maharagwe
- Dagaa, nk
Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;
- Chapati
- Mandazi, nk
Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.
Nishapima;
- X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
- Makohozi yakuotesha negative
- HIV - negative
- Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine
Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!
Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.
Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru. [emoji33]
Ndiyo sababu nimesema jaribu, jaribu huwa haina mjadala.Lakini sasa minyoo ndo inanifanya nikohoe nakutoa makohoz mazito??
Ebu nenda kawe kwa Mwamposa, halafu uje utoe ushuhuda. Kwa kuwa ni bure hakuna hasara.Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.
Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.
Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
- Nyama
- Samaki
- Kalanga
- Maharagwe
- Dagaa, nk
Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;
- Chapati
- Mandazi, nk
Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.
Nishapima;
- X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
- Makohozi yakuotesha negative
- HIV - negative
- Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine
Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!
Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.
Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru. [emoji33]
Ko na nam nijalibu kuvuta !! ?Nlikuwa na aleji kama Yako mkuu,na mm mbali na mafuta,vumbi na moshi nakohoa balaa,wakanishauri nikate kilimi nikagoma,nkaona wht the hell nkaanza vuta Sigara Kali,wiki mbili nlikohoa balaa ila mpaka Leo kukohoa Napaskia
Nakubaliana na weweHio ni allergy,
Hapo itabidi uishi na loratadine na Prednisolone maisha
Nashukuru sana mkuuDr. Onesmo, Kitengule Hospital, iko Tegeta Kibaoni.
Huyu ni mtaalam wa ENT.
0655969303
Unaweza kumpigia, mpe maelezo then atakushsuri eidha uende au akuelrkeze sehemu sahihi, huyu jamaa ni wa msaada sana.
Tatizo ana foleni ya watu wengi mnoo