Afyeka nyeti zake, kisa MADEMU!

Ataikumbuka dushelele, halafu hana, pole yake kwa ujinga, kwani angewakataa hao madem wangemfanya nini? very stupid.
 
Mimi naona alichofanya ni sawa kabisa maana maandiko matakatifu yanasema kama kiungo chako kimekukosesha basi kikate na ukitupe majini.
wengine tungebaki viwiliwili tuu bila kiungo chochote!!
 
mmmhhh!!! huyu anaonekana ni dictator cjui hata wanamgombea kwa nini!!
 
huyu nae, kwani walimwambia wanagombea dudu?!! au dudu lake lilikuwa la dhahabu??!!...kazi kwisheni, jingaaa
 
hivi inawezekana kweli unakata dushelele alafu unapona? au amejitahili.
 
hv inawezekana kweli kufyeka dushelele alafu ukabaki hai? atakua kajitahili huyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…