Against lockdown

Against lockdown

Kwanini unasema tulipaswa kufa kama sisimizi tena kwa mamilioni?

Sawa,ugonjwa haujatuathiri kama wengine, hii ndio inaonesha kuwa matatizo ya Africa mengi yanatakiwa kutatuliwa na waAfrica wenyewe na kwa njia zinazoendana na mzingira na uhalisia wao.

Ugonjwa huu ni mpya hakuna mwenye elimu nao na control nao kwa 100%, kila mtu anafanya trial n error, Lockdown imeonesha kupunguza maambukizi, je hizi after effects za Lockdown bado mpaka sasa hazijapatiwa ufumbuzi.

Ok! Kwetu haujaleta madhara sasa, mnatuambia nini? Kukataa ile njia yao na yetu!?

Mkuu huo mstari wako sio kabisa unanishangaza---




Alexander
Safi Sana.
 
Corona ni vita kuu ya tatu ya dunia kila taifa lina mbinu na njia zake kuweza kuhakikisha linaibuka mshindi, Tanzania imekataa na haitokubali kuchezeshwa ngoma isiyojua nani mpigaji, hatuwezi kuchezeshwa ngoma ya korona na watengenezaji wa korona wenyewe kwa malengo yao binafsi....hakuna haja ya kutoa mapovu ilihali Tanzania si nchi yako, na wala hatukuhitaji ktk nchi yetu...hatutokuwa na lock down ya kuweka watu ndani kama watumwa kwa kuogopa kivuli cha kiumbe asiyeonekana, wenzenu karibia tuvune mpunga na mahindi shambani, ili mtakapochiliwa jela zenu za majumbani mje kununua chakula chetu kwa tuitakayo....tulianza na mungu tutamaliza na mungu nyie endeleeni kuwaabudu wazungu....
Hamna cha kila serikali itumie mbinu zake, na hapo ndio mnakosea, hii hata mabingwa wa ukaidi akina Korea Kaskazini, Iran, Urusi, China wote raundi hii wamekubali kushirikiana na dunia, sembuse kajamba maskini wa Kiafrika. Kitu kipya kama hiki ambacho kimeduwaza, kushangaza na kupumbaza wanasayansi wa dunia, tena waliobobea kwenye fani za utaalam wa magonjwa haipaswi kujifanya wakaidi eti mna namna yenu, mnaishia kuwaponza majirani.
Kwa mfano Iran alijifanya mkaidi mwanzoni akaishia kuharibu Uarabuni baada ya yeye kuwa kitovu cha maambukizi ukanda wote huo.
Yaani tushukuru sana hiki kitu kimetuhurumia Afrika, nakumbuka nikitazama video fulani ya waziri Ummy akisema yaani tu basi maana akitazama Watanzania, hamuwezi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ni vita kuu ya tatu ya dunia kila taifa lina mbinu na njia zake kuweza kuhakikisha linaibuka mshindi, Tanzania imekataa na haitokubali kuchezeshwa ngoma isiyojua nani mpigaji, hatuwezi kuchezeshwa ngoma ya korona na watengenezaji wa korona wenyewe kwa malengo yao binafsi....hakuna haja ya kutoa mapovu ilihali Tanzania si nchi yako, na wala hatukuhitaji ktk nchi yetu...hatutokuwa na lock down ya kuweka watu ndani kama watumwa kwa kuogopa kivuli cha kiumbe asiyeonekana, wenzenu karibia tuvune mpunga na mahindi shambani, ili mtakapochiliwa jela zenu za majumbani mje kununua chakula chetu kwa tuitakayo....tulianza na mungu tutamaliza na mungu nyie endeleeni kuwaabudu wazungu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vema. Hakuna cha kuogopa, ni kupambana.
 
Hii kitu ni mafua ya kawaida yakiwa na siasa pamoja na biashara ndani yake. Magufuli hilo amelijua mapema, hakuna ugonjwa hapo ni mbinu za kuifanya dunia yote iwe chini ya watu flani (mwenye kunielewa na afumbue macho yake).

Na hapa ndio umetulia ukaona umeandika kitu cha watu kusoma...
 
Corona ni vita kuu ya tatu ya dunia kila taifa lina mbinu na njia zake kuweza kuhakikisha linaibuka mshindi, Tanzania imekataa na haitokubali kuchezeshwa ngoma isiyojua nani mpigaji, hatuwezi kuchezeshwa ngoma ya korona na watengenezaji wa korona wenyewe kwa malengo yao binafsi....hakuna haja ya kutoa mapovu ilihali Tanzania si nchi yako, na wala hatukuhitaji ktk nchi yetu...hatutokuwa na lock down ya kuweka watu ndani kama watumwa kwa kuogopa kivuli cha kiumbe asiyeonekana, wenzenu karibia tuvune mpunga na mahindi shambani, ili mtakapochiliwa jela zenu za majumbani mje kununua chakula chetu kwa tuitakayo....tulianza na mungu tutamaliza na mungu nyie endeleeni kuwaabudu wazungu....

Sent using Jamii Forums mobile app

Hamna cha vita kwenye corona, waachieni wataalam wafanye kazi zao, acheni kuchanganya siasa na hili suala, pande zote mbili mnaharibu, upinzani unataka kutumia corona kama mwanya wa kuipiga chini serikali kwa sababu yenyewe ilizembea, nayo serikali ili kujilinda kutoka kwa mashambulizi ya upinzani, imepambana na kutumia nguvu nyingi kupuuza hili janga na kutaka kuaminisha watu kwamba imefagia corona hamna tena Tanzania.

Mnatuponza sisi majirani zenu, mngekua na ukuta mjifie huko wala usingeskia tukisema, tungewaacha mfe au mpone, ila unakuta madereva wenu wanang'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu, wakipimwa wanakutwa mamia kati yao wanasheheni mdudu wanataka kuingia kuambukiza.
Na sio madereva tu, kuna wengine tumechangia makabila na kiasi kwamba ni vigumu kutenganisha watu....hivyo tumeunganishwa kwenye kiuno na hii ndio inatuletea balaa.
 
Hamna cha vita kwenye corona, waachieni wataalam wafanye kazi zao, acheni kuchanganya siasa na hili suala, pande zote mbili mnaharibu, upinzani unataka kutumia corona kama mwanya wa kuipiga chini serikali kwa sababu yenyewe ilizembea, nayo serikali ili kujilinda kutoka kwa mashambulizi ya upinzani, imepambana na kutumia nguvu nyingi kupuuza hili janga na kutaka kuaminisha watu kwamba imefagia corona hamna tena Tanzania.

Mnatuponza sisi majirani zenu, mngekua na ukuta mjifie huko wala usingeskia tukisema, tungewaacha mfe au mpone, ila unakuta madereva wenu wanang'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu, wakipimwa wanakutwa mamia kati yao wanasheheni mdudu wanataka kuingia kuambukiza.
Na sio madereva tu, kuna wengine tumechangia makabila na kiasi kwamba ni vigumu kutenganisha watu....hivyo tumeunganishwa kwenye kiuno na hii ndio inatuletea balaa.
Fungeni mipaka kabisa na nchi ya Tanzania kila MTU ajue lake, katika vita hakuna udugu, nyinyi mbaki na uzima wenu na sisi tubaki na virus vyetu huo ndo msimamo wetu na hatupangiwi na yoyote yule,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Umemuelewa huyo Dr kwanza anavyo sema au una bwabwaja?
Ina maana huyo Dr naye ana mawazo ya kimasikini na video zote wanaongea kitu kimoja sikiliza ili ulewe.

Nyie wenzetu Kenya matajiri ndio maana mmeseubiria maambukizi ya pande ndio mfungue nchi,sasa hizo akili au matope.
😃😃😃
 
well said
Stories za mtandao tuuu bash hiyo imefànyikq wapi, acha kujenga picha ya Dar ya Mange Kimambi wakati Dar halisi haiko hivyo kaka.Katika hili la huu ugonjwa kila njia ya mtu ina nafasi ya kuwa sahihi na kuwa si sahihi chamsingi kila serikali ipambane kutoka na uhalisia wa taifa lao katika nyanja mbali mbali.


Alexander
 
Hamna cha vita kwenye corona, waachieni wataalam wafanye kazi zao, acheni kuchanganya siasa na hili suala, pande zote mbili mnaharibu, upinzani unataka kutumia corona kama mwanya wa kuipiga chini serikali kwa sababu yenyewe ilizembea, nayo serikali ili kujilinda kutoka kwa mashambulizi ya upinzani, imepambana na kutumia nguvu nyingi kupuuza hili janga na kutaka kuaminisha watu kwamba imefagia corona hamna tena Tanzania.

Mnatuponza sisi majirani zenu, mngekua na ukuta mjifie huko wala usingeskia tukisema, tungewaacha mfe au mpone, ila unakuta madereva wenu wanang'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu, wakipimwa wanakutwa mamia kati yao wanasheheni mdudu wanataka kuingia kuambukiza.
Na sio madereva tu, kuna wengine tumechangia makabila na kiasi kwamba ni vigumu kutenganisha watu....hivyo tumeunganishwa kwenye kiuno na hii ndio inatuletea balaa.

Sasa mkuu wenzetu huko wanaanza ku release Lockdown na wanaweka mipango ya kuishi bila ya lockdown, nimeona Mh.Uhuru Kenyatta naye anafikiria hilo, je sababu zao na zenu zinafanana au ndio kisa wanafanya wao? Au sababu ndio hii unayoileta kuwa ugonjwa hauna madhara sana kwetu Africans,je unadhani mkiachia itapunguza ueneaji au nini kitakuwa in positive way mtakapoachia kama focus ni kuzuia na kupunguza maambukizi?

Na je mkishaachia hiyo Curfew, mtaachia madereva wetu kuja kisa hakun madhara sana ya ugonjwa kwa Africans au mtaendelea kuzuia au mtasubiria watayofanya wazungu ili ku-copy?

Mimi naamini kila njia ni sahihi mpaka pale itakapoonekana kushindwa, ugonjwa ni mpya mpaka wataalam unawasumbua.


Alexander
 
Sasa mkuu wenzetu huko wanaanza ku release Lockdown na wanaweka mipango ya kuishi bila ya lockdown, nimeona Mh.Uhuru Kenyatta naye anafikiria hilo, je sababu zao na zenu zinafanana au ndio kisa wanafanya wao? Au sababu ndio hii unayoileta kuwa ugonjwa hauna madhara sana kwetu Africans,je unadhani mkiachia itapunguza ueneaji au nini kitakuwa in positive way mtakapoachia kama focus ni kuzuia na kupunguza maambukizi?

Na je mkishaachia hiyo Curfew, mtaachia madereva wetu kuja kisa hakun madhara sana ya ugonjwa kwa Africans au mtaendelea kuzuia au mtasubiria watayofanya wazungu ili ku-copy?

Mimi naamini kila njia ni sahihi mpaka pale itakapoonekana kushindwa, ugonjwa ni mpya mpaka wataalam unawasumbua.


Alexander

Tutaondoa lockdown na curfew kimikakati na kwa kutumia ubongo, sio kujiachia na kujichokea kama mnavyofanya huko Tanzania.
Kwanza kabisa ifahamike sisi hatutumii mgongo wa kwamba kirusi kwa vile hakiui watu Afrika basi na sisi tujichokee na kuachilia, tunafuata ushauri na maelekezo ya wataalam kwenye misingi ya kisayansi, maana hao hao ndio walishauri tufanye curfew na lockdown na wakashauri ziweje.
Kwanza kabisa uhamasishaji na ushinikizaji wa tahadhari utabaki pale pale, upimaji wa kila anayeingia nchini lazima ufanyike, iwe dereva wa majirani au madereva wetu wenyewe wanaporudi, lazima kila mtu apimwe. Upimaji wa sisi tulio ndani lazima uendelee, maana kuna umuhimu mkubwa wa kujua tumeathirika kwa kiasi gani, ili kuwalinda wale bado hawajaathirika.

Na pia sio kwamba tutaachia kila kitu, huduma ambazo sio za muhimu sana kama vile vilabu vya disko vitaendelea kufungwa mpaka siku dawa ya kuponya au tiba itapatikana na iliyokidhi vigezo vya kisayansi. Hatutafanya mnavyofanya huko eti corona bash/party
Mshukuru sana hiki kitu hakiui Afrika, kwa huo ujinga mnaoufanya mngezikana huko hadi kuihama nchi

EYhg5bLXYAAARMB.jpg
 
Tutaondoa lockdown na curfew kimikakati na kwa kutumia ubongo, sio kujiachia na kujichokea kama mnavyofanya huko Tanzania.
Kwanza kabisa ifahamike sisi hatutumii mgongo wa kwamba kirusi kwa vile hakiui watu Afrika basi na sisi tujichokee na kuachilia, tunafuata ushauri na maelekezo ya wataalam kwenye misingi ya kisayansi, maana hao hao ndio walishauri tufanye curfew na lockdown na wakashauri ziweje.
Kwanza kabisa uhamasishaji na ushinikizaji wa tahadhari utabaki pale pale, upimaji wa kila anayeingia nchini lazima ufanyike, iwe dereva wa majirani au madereva wetu wenyewe wanaporudi, lazima kila mtu apimwe. Upimaji wa sisi tulio ndani lazima uendelee, maana kuna umuhimu mkubwa wa kujua tumeathirika kwa kiasi gani, ili kuwalinda wale bado hawajaathirika.

Na pia sio kwamba tutaachia kila kitu, huduma ambazo sio za muhimu sana kama vile vilabu vya disko vitaendelea kufungwa mpaka siku dawa ya kuponya au tiba itapatikana na iliyokidhi vigezo vya kisayansi. Hatutafanya mnavyofanya huko eti corona bash/party
Mshukuru sana hiki kitu hakiui Afrika, kwa huo ujinga mnaoufanya mngezikana huko hadi kuihama nchi

EYhg5bLXYAAARMB.jpg
Mshachemka hamba cha mkakati wala nini.
 
Hamna cha kila serikali itumie mbinu zake, na hapo ndio mnakosea, hii hata mabingwa wa ukaidi akina Korea Kaskazini, Iran, Urusi, China wote raundi hii wamekubali kushirikiana na dunia, sembuse kajamba maskini wa Kiafrika. Kitu kipya kama hiki ambacho kimeduwaza, kushangaza na kupumbaza wanasayansi wa dunia, tena waliobobea kwenye fani za utaalam wa magonjwa haipaswi kujifanya wakaidi eti mna namna yenu, mnaishia kuwaponza majirani.
Kwa mfano Iran alijifanya mkaidi mwanzoni akaishia kuharibu Uarabuni baada ya yeye kuwa kitovu cha maambukizi ukanda wote huo.
Yaani tushukuru sana hiki kitu kimetuhurumia Afrika, nakumbuka nikitazama video fulani ya waziri Ummy akisema yaani tu basi maana akitazama Watanzania, hamuwezi kabisa.
Utaishia kutoa povu tu,lakini TZ is CORONA free kaka,but you're still twerking with the shit!
 
Afrika huwa tunakufa kama nzige hata kwa magonjwa ambayo yalishapata madawa kama vile Malaria, sasa huu ugonjwa ambao ndio mpya duniani haujawa na data za kutosha kujua au kufahamu unaathiri watu gani na kwa namna gani. Njia sahihi kwenye pandemic yoyote siku zote huwa ni kupunguza maambukizi, ila kwa umaskini wa Waafrika, isingewezekana kwa baadhi ya mataifa, maana ndio ungewaua kabisa.

Narudia tena, Afrika tushukuru sana kwa miujiza fulani ambayo haijapata ufumbuzi, corona haijatuua, imetuathiri tu na kutuacha tudunde mitaani bila vifo, ila ingekua kama aina ya magonjwa ambayo hutumaliza, tungekosa hata kwa kuzika watu, na tuache kujisifia kwamba kuna lolote la maana tumefanya kuzuia corona, na pia zaidi ya yote ni mapema sana kuanza kuringishia mitaani kama mlivyofanya Tanzania eti corona festival sijui bash, ujinga uliokubuhu, mngesubiri kwanza dawa ya uhakika ya hiki kitu ipatikane, na iliyokidhi vigezo vyote vya kisayansi sio hivyo vikombe vya babu mnavyojiaminisha huko.
Duh
 
Mnatumia nguvu nyingi sana kuhalalisha uzembe wenu na kushindwa kwenu kuingia lockdown kisa umaskini, mshukuru Mungu kwa namna moja au nyingine hiki kirusi hakionekani kuwaua Waafrika wengi hata wakiathirika, ni jambo ambalo limewashangaza wanasayansi mpaka leo, kwa jinsi tulivyo na umaskini huu wa Kiafrika ukiongeza na uzembe, ilipaswa tufe kama sisimizi tena kwa mamilioni.
Waafrika hatuna jeuri ya kusema kwamba kuna chochote tumefanya kikubwa cha kuzuia maafa, wacheni wengine waseme, sisi tuendelee kutembelea bahati na kuendelea kuomba chanjo au dawa ipatikane kabla kirusi hakijashtuka kwamba kimeisaza Afrika.
Kwahiyo hizi lockdown huku afrika ni mbwembwe tu maana waliyoweka na wasioweka wote hali ni zilezile tu?
 
Back
Top Bottom