Kwani bado wanamatumaini na timu ya mchongo? had wanaifatiliangoj wamalize kuzungumzia mpira waje kujibu....
Engine, gear box, fan belt anachukua MrsNaendelelea kupitia huo mgao gari haijagawanywa vizuri maana kuna atakayepata mashine nzimanzima. Hapo labda agawe vipande vinne
Mrs hajui hayo. Anachojua ni kushika usukani na kutia gearEngine, gear box, fan belt anachukua Mrs
Mr atabaki na body nusu na tyres π
Msumeno ameununua baada ya talaka so ni mali yake sio mali yao.Ila sasa Mungu wa ajabu. Sijui atatumia kifaa gani kugawa huo msumeno
Kamkomoa sana MrsNusu nusu Dawud halafu hasara roho tu πππ
Jamaa is geniushawajagawana mali bali hasara