Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kiazi tuhJamaa is genius
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiazi tuhJamaa is genius
Siitakua hata hela nizakwao wote? Au mambo ya account hayaguswi?Msumeno ameununua baada ya talaka so ni mali yake sio mali yao.
😂😂😂🤣Ila sasa Mungu wa ajabu. Sijui atatumia kifaa gani kugawa huo msumeno
Kama alikopa baada ya talaka je?Siitakua hata hela nizakwao wote? Au mambo ya account hayaguswi?
Msumeno umepatikana baada ya amri ya mahakama so ni mali halali ya mnunuajiIla sasa Mungu wa ajabu. Sijui atatumia kifaa gani kugawa huo msumeno
Inabidi wauze thamani ili walipe kabla hawajagawanya vitu kwa huo msumeno waoKama alikopa baada ya talaka je?
wakati wa vita unatumia siraha yeyote kunyoosha adui hayo mengine ni collateral damage yanaongeleka baada ya vitaHasira hasara
Wamekosa wote