Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 326
- Thread starter
- #21
Mbona unasema hivyo boss ?Hahaaaa..uwiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unasema hivyo boss ?Hahaaaa..uwiii
Mwanaume unatakiwa uoe msichana.Kama nilivyoanza hapo kwenye title. Age is just a number.
Natafuta mwanamke ambae tutaanzisha mahusiano kwa mlengo mmoja tu, tuje tufunge.
Umri mie nakubali wowote ule kuanzia 18 - 40.
Kwanini ? Mara ya kwanza nilikuja kwa lengo la kutafuta mwanamke ila ni kaweka restriction kubwa ya umri jambo ambalo lilinicost kwa sababu walikuja wanawake fulani PM, nikawa-push aside. Nilifanya hivyo nikitarajia a certain young lady would come so we could plan our future.
Lakini nikagundua kuwa chance ya kupata mwanamke kijana ni 0.00001%
Sasa mie hakuna kitu nnachohitaji kwa sasa zaidi ya kuoa, na umri niliopanga kuoa unanitupa mkono.
✓Kama wewe ni mwanamke mwenye elimu angalau ya Form 4.
✓Sio golikipa, angalau unajishughulisha na CHOCHOTE.
✓Dini yoyote.
✓Si mfupi sana.
Basi njoo tuyajenge.
-Mimi umri wangu ni 27 - 30. Kama utaridhia.
-Elimu Diploma.
-Muajiriwa kwenye Firm fulani hapa Dar.
-Sina mtoto.
-Unataka kujua zaidi ? Njoo PM.
Angalizo: Uwe tayari kupima afya.