Msimamo wew na nani mkuu??Usifananishe wanamwibara kama mateja
Huu ndio msimamo wa wanamwibara kuwa agenda yetu 2020 ni MUSIBA
Hivyo napaza sauti
Kata mpya imeanzishwa kutoka kata ya NERUMAHakuna kata inaitwa nyamihoro
Hapo umenenaTena Cyprian Musiba anafaa kuwa Spika wa bunge maana ni jasiri!
Maendeleo hayana vyama!
Kangi kwa sasa hana jipya miaka 10 hakina alicho kifanyaMusiba ana pwaya,huwezi kumlinganisha na Lugola.Hata boxing match Lugola anamuindoa Musiba kwa KO.
Kwasasa CCM inaitaji watu.kama MUSIBAMsimamo wew na nani mkuu??
Wew Endelea kupga Debe, Je Ccm yenyew itamptsha???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwasasa CCM inaitaji watu.kama MUSIBA
Mzalendo wa kweli
Utumilwe ChikakaKwasasa CCM inaitaji watu.kama MUSIBA
Mzalendo wa kweli
Nitatumilwe go olyanu mwibhara anyamkile sana