Agenda 21 waanza kukutwa na vizuizi...

Agenda 21 waanza kukutwa na vizuizi...

Nasikia EL is very powerful ndani ya CCM. The word is he handpicked almost 80% of the district and regional commissioners. Walivyoanza JK entrusted him with almost everything kwenye kuunda serikali za mikoa na wilaya. Hata kwenye boards kadhaa za taasisi za serikali nasikia ameweka washikaji zake kibao, which could help to get funds (when need be).

Nadhani JK anakazi kubwa sana kuisafisha system kutoa mikono ya EL.....
 
Hivi huyo Jk anayezungumziwa kwamba achukue hatua za haraka ni huyu tunayemfahamu au yupo mwingine???????????









"Education's purpose is to replace an empty mind with an open one." -- Malcolm S. Forbes
 
All that said and done; the ultimate loser is mwananchi! EL na JK wakigombana, tunaoumia ni sisi. As I said before Tanzania is being run just like a private business. Just imagine sasa tunafikiria personalities na interests za hawa wakubwa, hatufikirii hizi personalities zina interests gani kumsaidia mwananchi wa kawaida. Kibaya zaidi, these same people will do their deals behind the door and later go before wananchi to legitimize their evil intentions through that demon called democracy.

In politics you have no permananet friends, only permanent interests. on the former Iam not sure, but on the latter, Iam sure EL and JK have the same interests!

I said it before bila utawala wa sheria ni vigumu sana hizi banana republic zetu kuja kupata maendeleo hata siku moja, why? kwa sababu kama tungekuwa na sheria dhabiti, hawa the so called mafisadi wangepelekwa mbele ya vyombo vya sheria kujibu tuhuma na wananchi wangeamua kusuka au kunyoa, sasa kwa sababu watawala wenyewe ndo wanahusika na huu ufisadi, it makes little difference what do you expect? wewe ukiona mshauri mkuu wa kisheria wa serikali AG, mkuu wa kupambana na rushwa wanatuhumiwa na vitendo vya rushwa, kuna matumaini hapo? inaobidi watunge sheria na kuandika miswada ndo hao..wezi akina Mwanyika, tutegemee nini? ataishauri nini serikali??

All in all, JK can do what he wants, but if his style of governance had interests of the poor voters at the centre he wouldnt have to worry at all, because they would be at his side, but simply because he decided to associate his administration with the special interests groups- and now they are turning against him, then he should worry because the same dirty tricks he used against others will be used against him by those who invented them! and these same wananchi who voted him because of manipulations, they will be manipulated again-though this time, not in his favour!

All in all when you do eveil, just know, one day they will catch up with you. So whether it is EL, JK, RA..they should know that one day, they will respond to these poor wananchi who seemingly have no sense of understanding! But with zeal and strong resilience, I am eternally optimistic, that we are moving.
 
This is very interesting. Mwanakijiji kama hiyo habari yako ni 100% factual, then am so happy kuona huo mgongano uendelee. CCM hawawezi kuangushwa na upinzani, bali CCM wanaweza kuangushwa na CCM. So, let them fight na sisi wananchi tunatazama.

EL anajua kabisa ameshamalizwa kisiasa na mwenzie JK. Na mimi i can't wait the battle between JK and EL to get on fire, sababu tutapata all the information kuanzia ni nani alifund kampeni ya Mh.Jakaya 2005, Rostam Aziz pesa zake anasave swiss na wapi tena, Jitu Patel ameongeza Current Account Defecit kwa percent ngapi, Karamangi na Msabaha wamefungua off shore accounts kwenye nchi gani, nani alileta idea boga ya kupeleka mawaziri mikoani kusafisha jina la chama cha mapinduzi. So, i like when they started cooking with a lot of oil.

Kinachonishanga ni Usalama wa Taifa kudai wemetuma mabalozi wa US and UK kufuatilia nani ni nani, balozi hizi zinaendeshwa kwa losses, they can't even afford to pay parking tickets in DC will they be able to crack down who does what? Kuita usalama wa taifa ni wrong idea, how about "Usalama wa CCM". Wana JF hizo propaganda za kudai they will crack down wachangia JF ni sawa na kudai they will go to the moon, it can happen but not in Tanzania.

So, personal mimi nawapa green light, Yaani "bring It on", kama mama alivyomwambia Obama meet me in Ohio, same as Usalama wa Taifa tukutane DC.
 
hiyo miaka arobaini yeye alikuwa kijiji gani akilima?

Unafikiri wote ni wanakijiji kama wewe? wengine ni wana miji.

Wewe ulikuwa wapi? Yeye si unamuona yuko wapi na anachokifanya kila kukicha si unakiona?
 
sifurahi kuona mgongano mgubwa kama huu unaendelea ndani ya ccm kwa sababu atakae umua mwisho wa siku ni mwananchi!
pesa zitachotwa kutoka serikalini kuimarisha pande mbili hizo za vita,
 
Mwanakijiji word is bond,

Kikwete mwenyewe anachemka kwa kutoa "mixed signals" mara anakubali Lowassa kujiuzulu, mara anamsifia katika kikao na wazee wa Dar and all that, naelewa kunatakiwa kuwe na civility hata baada ya yote lakini Kikwete alizidi akaanza kumkumbatia kisiasa.Mwishowe watendaji wa chini kama hukom RTD wakawa hawajui kama EL apewe slot kujieleza au vipi, mi sifikiri kama Mhando hataki kazi yake kiasi cha kumpa slot EL huku akijua mkulu hakutaka!

Kikwete being spineless itatucost sana.
 
Wakubwa ninayaona mengi ktk taarifa ya MKJJ,yuko detailed na amethubutu kuona mbali lakini lililo bora sana hapa ameshauri nini kifanyike juu ya hili la Agenda 21; Binafsi naamini kuwa sio wote walioachwa na JK ktk baraza jipya ilikuwa ni dhamira yake bali amelazimika kufanya aloyafanya kutokana na nguvu ya wakati. Nimewahi soma humu na magazetini kuwa waliorudi wengi ni watu wa Lowasa kwa historia yao ktk siasa, lakini pia si wote walioachwa walikuwa maadui wa Lowasa na marafiki wa JK,nimemsoma pia mzee ES ktk ile mada ya kuondoka kwa EL ,naona mchanganyiko ambao hutupi dira waTZ,tujiulize kama CCM iko tayari kuchezewa ktk kipindi ambacho serikali ipo na chama kipo? Tuwaangalie hawa key players wa hili sokomoko kama wanafanana na haya tunayoyasema hapa? Lakini pia tujiulize kama mheshimiwa Rais na taasisi nzima wanafanana na hili jambo, tujiulize tu kwa nia njema. Ninachoweza kusema hapa ni kuzingatiwa kwa historia ya CCM na uzoefu wao ktk harakati za namna hii,EL kama mwanasiasa anayo haki yake kikatiba kufanya haya anayoyafanya sasa kwa msaada wa serikali au la maana ni mwenzao,Kamati ya Mwakyembe ilipata haki ya kikatiba na wakaitumia,sasa ni wakati wa kusikia ya upande wa pili freely lakini pia ni wakati wa kuisikiliza serikali ktk kujua ukweli halisi na hatua zilizochukuliwa kwa wahusika,CCM NI IMARA JANA ,LEO ,KESHO NA SIKU ZIJAZO,KUMBUKENI HIKI N CHAMA CHA MAPINDUZI HIVYO KUJIKOSOA NDIO MTAJI WAO NAMBARI WANI.
KILA LA HERI
 
a. Jaribio lao la kuingilia JF na kuinyamazisha liligonga mwamba pale Rais Kikwete alipomuita Manumba Ikulu na kuulizia sakata hili. Ilipojulikana ni nani wako nyuma ya "malalamiko" oda ikatolewa "waachilieni!".

Kwa upande mwingine, jitihada za kuizima Jambo Forums na wanachama wake waandamizi bado hazijakoma na kuna habari kuwa "majina kadhaa" ya watu ambao wanahisiwa ndio vinara wa forum hii yamepelekwa kwenye Balozi za TZ US na UK ili kujaribu kuhakiki kama watu hao ndio wenye "kupiga" kelele zaidi kwenye forum hiyo.

If Kikwete kasema waachieni Jambo Forum, then who sent the names to embassy in US or UK? Was is Membe?

If it was Usalama wa Taifa, are they defying the order from the President? Who then are Usalama wa Taifa na Polisi working for? Agenda 21, Lowassa? who approves their paycheck? isn't it Kikwete the president?

Do I smell mutiny kutoka Usalama wa Taifa? are they now working for "mshikaji wa neema" Lowassa? what about their Kiapo?

If they are looking for names, I am 1000% sure they know me, am just waiting for their call ikiwa ni kutoka DC, NY au LHR! they can go to Tokyo, Bonn and Brussells too if they are still looking for Camerlengo!
 
Hili la usalama wa Taifa bado linasumbua kichwa changu kweli. Kwanza kwa sababu hadi leo hii hawajakana kuhusika na wizi wa BoT baada ya kutajwa na Balali.. Inatisha sana kufikiria jambo kwa sekunde chache kuwa Usalama wa TAifa wanashiriki kwenye wizi. Katika mambo haya wanasema Ukimya wakati unasema "ndiyo".
 
Nasikia EL is very powerful ndani ya CCM. The word is he handpicked almost 80% of the district and regional commissioners. Walivyoanza JK entrusted him with almost everything kwenye kuunda serikali za mikoa na wilaya. Hata kwenye boards kadhaa za taasisi za serikali nasikia ameweka washikaji zake kibao, which could help to get funds (when need be).

Nadhani JK anakazi kubwa sana kuisafisha system kutoa mikono ya EL.....

Ndio maana alitumia madaraka ya kukaimu Uraisi wakati Kikwete na Shein wako nje kumpa kazi Hosea TAKUKURU, huku akijua wazi kuwa Hosea alitimuliwa Mahakama Kuu kwa tuhuma za rushwa!
 
Nguvu kuu iliyoshindwa uchaguzi wa kiteto?

Dar Es salaam you can do better than this .Una chuki na MKJJ mtafute katika mails zake na acha upumbavu wa personal attack .We are moving on the Kiteto thing is over .
 
Kwa kuwa Marehemu Mwalimu Nyerere alimkataa Lowassa kwa kumhusisha na mtu mchafu na aliyejipatia mali kwa njia ambazo si za halali.
na kwa kuwa Julius Nyeriere alisema CCM si mamaa yake na kama ikipoteza mwelekeo ataiacha,
Kwa kuwa inasemekana Lowassa ni Baba wa Ufisadi na anasimama kama miongoni mwa wanaosababisha vifo kutokana na Malaria wakati yeye akitajirisha tu,
kwa kuwa ameshindwa kutuambia ni nani mmiliki wa RDC,na ameiba pesa zake na kufaidika na washkaji wake kama kina Naiko,
naomba kutoa hoja ashtakiwe kwa kosa la Uhaini,

Simpendi Lowassa,Simpendi Mfisadi yeyote,tunahitaji CCM isiyo ya Wafanayabiashara na watu waadilifu.Jk usiyumbishwe na hawa watu.
 
Dar Es salaam you can do better than this .Una chuki na MKJJ mtafute katika mails zake na acha upumbavu wa personal attack .We are moving on the Kiteto thing is over .

......As to mapambano dhidi ya JF,any sane person would understand that kama Sokoine,Katabaro and other were eliminated simply because they fought for wananchi,then JF is an ultimate pinch in the shit hole that every fisadi would love to see it gone.Tunapojadili mada nzito tunaweza kujisahau kwamba kuna wenzetu tulionao hapa ambao hata kama wanaunga mkono vita zetu dhidi ya ufisadi,wapo hapa kujua nani ni nani.....Sudden soft tone ya DCI and his co dhidi ya "magaidi wa JF" isichukuliwe lightly.

Need I say more?Does it ring in one's mind that a member who just joined (juzi to be specific) would be critical of almost everything that many here seem to agree with,and also pick a fight with MKJJ from nowhere?Huyu hana chuki na MKJJ pekee bali the whole existence of JF.Kuna wale waliodhani mafisadi wameidhibiti JF,and they have not given up sending their messengers here.
 
Kwa kuwa Marehemu Mwalimu Nyerere alimkataa Lowassa kwa kumhusisha na mtu mchafu na aliyejipatia mali kwa njia ambazo si za halali.
na kwa kuwa Julius Nyeriere alisema CCM si mamaa yake na kama ikipoteza mwelekeo ataiacha,
Kwa kuwa inasemekana Lowassa ni Baba wa Ufisadi na anasimama kama miongoni mwa wanaosababisha vifo kutokana na Malaria wakati yeye akitajirisha tu,
kwa kuwa ameshindwa kutuambia ni nani mmiliki wa RDC,na ameiba pesa zake na kufaidika na washkaji wake kama kina Naiko,
naomba kutoa hoja ashtakiwe kwa kosa la Uhaini,

Simpendi Lowassa,Simpendi Mfisadi yeyote,tunahitaji CCM isiyo ya Wafanayabiashara na watu waadilifu.Jk usiyumbishwe na hawa watu.


Kilio chako kikubwa sana Gembe ila am afraid hutaweza kufika kokote na hili maana JK husema na kutenda hadi akurupushwe .
 
a. Jaribio lao la kuingilia JF na kuinyamazisha liligonga mwamba pale Rais Kikwete alipomuita Manumba Ikulu na kuulizia sakata hili. Ilipojulikana ni nani wako nyuma ya "malalamiko" oda ikatolewa "waachilieni!".

b. Jaribio la kuanza kutumia vyombo vya habari kama TVT kujenga jina la Mhe. Lowassa tena ziligonga mwamba siku ya Jumamosi baada ya matangazo yaliyokuwa hewani "kulazimishwa kukatisha mara moja. (Unaweza kuona video zote mbili kupitia KLHN). Baadhi ya watu wanasema kuwa mahojiano yalikuwa yamefikia mwisho ingawa kama ndio interview zinamalizwa hivyo basi tuna kazi mbeleni.

c. Gazeti la "Mtanzania" nao walianza makala yao moja jana ambayo ilikuwa na mwelekeo wa kuendelea leo na ikiwa na lengo hilo hilo la kumsafisha Lowassa mbele ya Watanzania. Makala hiyo nayo inaonekana "imesitishwa" kiana na sitoshangaa jina la Lowassa na utetezi wake ukaanza kupotea mara moja magazetini.

Mwanakijiji,asante kwa news nzuri. Kwanza nataka kuwaambia hawa agenda 21,nguvu nyingi wanazotumia kuinyamanzisha JF ni bora wakazitumia kufanya kampeni zao chafu kupitia chama chao kilichojaa mafisadi.

Juhudi zao hizo za kumsafisha Lowassa kupitia TVT,tuliziona na hata TVT ilikwisha ingia kwenye mtego huo,aingii akilini,mtangazaji akamaliza kipindi bila kuwaaga watazamaji wake,kama ni hivyo basi waandaaji wa vipindi TVT wanahitaji mafunzo zaidi. Naamini kabisa kipindi kilitolewa hewani kwa amri.
Tunafahamu,kuwa Fisadi Rostam Aziz,ni moja wa wamiliki wakubwa wa hisa katika kampuni ya habari corporation,na ni mshiriki mkubwa wa EL. hatuwezi kushangaa gazeti la "Mtanzania" kuandaa makala ya kumsafisha lowasa,si ajabu kwani fisadi mwenye hisa anaweza kutoa amri kwa mwandishi mwenye mawazo ya kifisadi kuandaa makala hiyo. Jana katika gazeti la Mwananchi,kulikuwa na makala iliyowashambulia waandishi wa habari wenye mawazo ya kifisadi ambao wamekuwa wakiandaa makala za kumsafisha Lowassa,lakini mwandishi huyu alishindwa kuyataja magazeti husika au waandishi husika.
Siku zaja wanaJF tutataja majina yetu hewani na kujitambulisha kupitia vyombo vya habari
 
nikifufuka, hapana siyo huyo ndugu yangu shabiki wa "dimbwi la maini" bali ni mtu mwingine..

DsL.. ndiyo Rais wetu ana kibarua kizito na asipoweza kufanya kile kinachojulikana kama "mizengwe" hataweza kupambana na hii "nguvu kuu".
Jana nilisema kwamba hakuna nyia ya kupambana nao .kwanza wawanyanganye kadi za ccm na kuwafutia uanachama.then wawaburuze mahakamani maana wanataka kuharibu nchi hawa
 
a. Jaribio lao la kuingilia JF na kuinyamazisha liligonga mwamba pale Rais Kikwete alipomuita Manumba Ikulu na kuulizia sakata hili. Ilipojulikana ni nani wako nyuma ya "malalamiko" oda ikatolewa "waachilieni!".

b. Jaribio la kuanza kutumia vyombo vya habari kama TVT kujenga jina la Mhe. Lowassa tena ziligonga mwamba siku ya Jumamosi baada ya matangazo yaliyokuwa hewani "kulazimishwa kukatisha mara moja. (Unaweza kuona video zote mbili kupitia KLHN). Baadhi ya watu wanasema kuwa mahojiano yalikuwa yamefikia mwisho ingawa kama ndio interview zinamalizwa hivyo basi tuna kazi mbeleni.

c. Gazeti la "Mtanzania" nao walianza makala yao moja jana ambayo ilikuwa na mwelekeo wa kuendelea leo na ikiwa na lengo hilo hilo la kumsafisha Lowassa mbele ya Watanzania. Makala hiyo nayo inaonekana "imesitishwa" kiana na sitoshangaa jina la Lowassa na utetezi wake ukaanza kupotea mara moja magazetini.

Mwanakijiji,asante kwa news nzuri. Kwanza nataka kuwaambia hawa agenda 21,nguvu nyingi wanazotumia kuinyamanzisha JF ni bora wakazitumia kufanya kampeni zao chafu kupitia chama chao kilichojaa mafisadi.

Juhudi zao hizo za kumsafisha Lowassa kupitia TVT,tuliziona na hata TVT ilikwisha ingia kwenye mtego huo,aingii akilini,mtangazaji akamaliza kipindi bila kuwaaga watazamaji wake,kama ni hivyo basi waandaaji wa vipindi TVT wanahitaji mafunzo zaidi. Naamini kabisa kipindi kilitolewa hewani kwa amri.
Tunafahamu,kuwa Fisadi Rostam Aziz,ni moja wa wamiliki wakubwa wa hisa katika kampuni ya habari corporation,na ni mshiriki mkubwa wa EL. hatuwezi kushangaa gazeti la "Mtanzania" kuandaa makala ya kumsafisha lowasa,si ajabu kwani fisadi mwenye hisa anaweza kutoa amri kwa mwandishi mwenye mawazo ya kifisadi kuandaa makala hiyo. Jana katika gazeti la Mwananchi,kulikuwa na makala iliyowashambulia waandishi wa habari wenye mawazo ya kifisadi ambao wamekuwa wakiandaa makala za kumsafisha Lowassa,lakini mwandishi huyu alishindwa kuyataja magazeti husika au waandishi husika.
Siku zaja wanaJF tutataja majina yetu hewani na kujitambulisha kupitia vyombo vya habari
 
Polepole na sisi tunaingia kwenye mtego wa kugawanywa ama kwa kujua au kutokujua. Katika mtego huu tunasahau kabisa kwamba Kikwete was made by Lowasa and in turn Kikwete made Lowasa (rejea makala ya Ngurumo ya Jumapili-that was a classic piece in this regard). Pamoja na yote, ukweli ni kwamba Lowasa is politically more intelligent, sane and smart than JK. Binafsi ungeniuliza who is a lesser devil, I would say Lowasa, simply because I hate dull politicians who cannot make big decisions when due. Siwezi kumsifia mtu anayefukuza watu kazi baada ya kujiuzulu au askari anayepiga maiti risasi!

Katika sakata hili, itafaa kujua kipenzi chetu Salim yuko upande gani. Na zaidi ya yote wapi wapo akina Mwandosya na mashine kubwa mzee Malecela. I can bet Mwandosya na Salim hawatakuwa upande wa JK kwa jinsi yale waliyoyafanyia kwenye kampeni za 2005.
 
Back
Top Bottom