Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Mchumia tumbo kuitwa mwamba ni upuuxi sana, jama ni hustler wa mali za Umma kupitia hela za chama, Magufuli aliwaweza sana kuwapunguzia luzuku…bado akawawekea wale madada 19 ngumu kumeza… Mbowe hawezi msahau Magufuli maisha yake yote, ile issue ya Samia kumuweka ndani nadhani ni yeye mwenyewe aliomba kupumzishwa kijanja… trust nobody, specially politicians. Magu wasn’t among them 100 reasons why he got eliminated."Mwamba" ulioyeyushwa na Suluhu?
Siku siyo nyingi tutauona ukweli.
Sielewi kwa nini umechagua kuweka haya yako kupitia kwenye mchango wangu.Mchumia tumbo kuitwa mwamba ni upuuxi sana, jama ni hustler wa mali za Umma kupitia hela za chama, Magufuli aliwaweza sana kuwapunguzia luzuku…bado akawawekea wale madada 19 ngumu kumeza… Mbowe hawezi msahau Magufuli maisha yake yote, ile issue ya Samia kumuweka ndani nadhani ni yeye mwenyewe aliomba kupumzishwa kijanja… trust nobody, specially politicians. Magu wasn’t among them 100 reasons why he got eliminated.
Imetokea bahati mbaya nimereply kwako, lengo halikuwa kuunganisha hoja yangu kwako, hata hivyo unajihami sana, laiti kama ungekuwa mmiliki wa hii forum sidhani kama tungepata fursa ya kuandika chochote.Sielewi kwa nini umechagua kuweka haya yako kupitia kwenye mchango wangu.
Niseme tu kwa upole hapa kwamba sikubaliani na mawazo yako.
Sasa kama unatafuta shari toka kwangu kwa kuendeleza uhayawani wako, basi hilo litakuwa ni jambo jingine unalitafuta.
Kwa hiyo unataka awaache hapa waje na wenyewe wamalizwe na wasiojulikana wenu wale.Wewe endelea kulamba viatu vya mwenyekiti wako, huku unaemlamba viatu akikimbiza watoto wake Marekani wakaombe uraia wa huko.
Takataka kama hizi zako zisingepata nafasi, hilo liko wazi, na wala siyo jambo la kujutia.Imetokea bahati mbaya nimereply kwako, lengo halikuwa kuunganisha hoja yangu kwako, hata hivyo unajihami sana, laiti kama ungekuwa mmiliki wa hii forum sidhani kama tungepata fursa ya kuandika chochote.
Mshamba kweli kweli…takataka mavi yako.Takataka kama hizi zako zisingepata nafasi, hilo liko wazi, na wala siyo jambo la kujutia.
Umekwishapata jibu, hangaika nalo mwenyewe.Mshamba kweli kweli…takataka mavi yako.
Usimfananishe Daudi na vitu vya ovyo. Hakuna kokote ambako Daudi aliua isivyo hakiYesu alikaa selo pia, Paulo na Sila walikaa ngome, Yusuph alikaa ngome, bado Samson na watumishi wengine wa Mungu wa kwenye biblia, sasa sijui unasoma biblia ya Machame! Najaribu tu kuuliza, kama kuua hata Daudi aliua Goliath na akawa shujaa…
Kina sabaya na Magu walikuwa kina Daudi, walishindana na Magoliath wa nchi ambao Kikwete alisema kuna watu ukiwashika nchi itatingishika… tuliona mtingishiko hata hivyo…. Sawa shabiki la Goliath mfilisti filisi mali za watanzania…
Umesahau alipomtuma askari wake frontline kuuawa ili aoe mke wake? Mpaka Mtoto aliyezaliwa baada ya huo uchafu (Kaka yake Suleiman) akafa! Tena ikiwa kama adhabu kutoka kwa Mungu wao, Soma hizo simulizi vizuri. (2 Samwel 12: 1 - 23). Huyajui madaraka wewe kaa kwa kutulia.Usimfananishe Daudi na vitu vya ovyo. Hakuna kokote ambako Daudi aliua isivyo haki