Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Hellow Tanganyika!!

Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo.

Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna, ukitaka kupanda msimu ujao shart ukanunue.

Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.

Sasa ni muda wa kuamka na kuweka ulinzi kwenye benki zetu za mbegu asili maana njaa Inakuja ulimwenguni kote na ni ya kutengeneza Ili kuhakikisha Nchi zetu zinapiga magoti na kutawaliwa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Umetoa ujumbe lakini asilimia 99% humu Hawajui hata hizo mbegu za kisasa na zaasili Kuna namna serikali inakwama Watu wanajua boda boda na Azam tv + Simba na yanga au baltazar
 
Sante Kwa mchango wako murua🙏

Mada inazidi kuchangamka.

Wenye maono, wapewe uongozi kuongoza Nchi na bara la Afrika katika kuhakikisha Dunia inakula vyakula salama.

Nia tunayo,

Uwezo tunao💪
Hamna uwezo wa kununua organics wala uwezo kuzalisha organics za kutosha hata mtaani kwenu nyie makapuku.
 
Afrika tunaweza kuilisha Dunia,

Tuna Kila kitu.
Huko duniani wamekuambia wana haja ya kulishwa na Africa? Udumavu umejaa tele kwenye nchi yako halafu unaongelea suala la kulisha dunia?!
Hizi ni akili au matope!
 
Umetoa ujumbe lakini asilimia 99% humu Hawajui hata hizo mbegu za kisasa na zaasili Kuna namna serikali inakwama Watu wanajua boda boda na Azam tv + Simba na yanga au baltazar

Mbegu zenyewe za asili mnajua zililetwa na nani? Au mlizikuta porini mkazivuna? Asili yetu ni mizizi, uyoga, magome ya miti na matundapori, mbegu zote mnazoita za asili zililetwa na hao mabeberu mnaowaita toka kwao, nendeni mkasome historia. Na wimbi hili halikwepeki ni walewale waliotangulia wanaendelea

Walileta mbegu, wakaleta biblia, wakaleta quran, wakatambulisha manabii zao na mandevu yao, wakatuletea na majina wote leo tuna majina ya kizungu, kiarabu au kiisraeli, wakaleta tiba, wakatufundisha kusoma, wakaleta simu, magari, mabati tujenge makanisa, shule na wakaleta hata nguo tuache kutembea uchi. So tusijitoe ufahamu na kuleta umuch know wakati hatujui hatukujua hata kutengeneza mkaa kabla hawajaja. Oh na kiberiti walituletea nilisahau na hadi leo hatujaweza kutengeneza hata njiti moja
 
Mbegu zenyewe za asili mnajua zililetwa na nani? Au mlizikuta porini mkazivuna? Asili yetu ni mizizi, uyoga, magome ya miti na matundapori, mbegu zote mnazoita za asili zililetwa na hao mabeberu mnaowaita toka kwao, nendeni mkasome historia. Na wimbi hili halikwepeki ni walewale waliotangulia wanaendelea

Walileta mbegu, wakaleta biblia, wakaleta quran, wakatambulisha manabii zao na mandevu yao, wakatuletea na majina wote leo tuna majina ya kizungu, kiarabu au kiisraeli, wakaleta tiba, wakatufundisha kusoma, wakaleta simu, magari, mabati tujenge makanisa, shule na wakaleta hata nguo tuache kutembea uchi. So tusijitoe ufahamu na kuleta umuch know wakati hatujui hatukujua hata kutengeneza mkaa kabla hawajaja. Oh na kiberiti walituletea nilisahau na hadi leo hatujaweza kutengeneza hata njiti moja
Kwamba hapa kuwa na miembe na mipapai, nazi za asili kabla ya ujio wa wareno na wakoloni?

Kujibu watu wa aina hii ni kupoteza muda.
 

Makala ya Wazungu wenyewe wakikataa sumu hizi👇hiyo chini ni kutoka tovuti ya serikali ya Marekani​

Health risks of genetically modified foods

Abstract​

As genetically modified (GM) foods are starting to intrude in our diet concerns have been expressed regarding GM food safety. These concerns as well as the limitations of the procedures followed in the evaluation of their safety are presented. Animal toxicity studies with certain GM foods have shown that they may toxically affect several organs and systems. The review of these studies should not be conducted separately for each GM food, but according to the effects exerted on certain organs it may help us create a better picture of the possible health effects on human beings. The results of most studies with GM foods indicate that they may cause some common toxic effects such as hepatic, pancreatic, renal, or reproductive effects and may alter the hematological, biochemical, and immunologic parameters. However, many years of research with animals and clinical trials are required for this assessment. The use of recombinant GH or its expression in animals should be re-examined since it has been shown that it increases IGF-1 which may promote cancer.

Kwa maelezo zaidi bofya kiunganishi chini👇
Watakataa.
 
Kwamba hapa kuwa na miembe na mipapai, nazi za asili kabla ya ujio wa wareno na wakoloni?

Kujibu watu wa aina hii ni kupoteza muda.
Jielimishe kwanza! So mipapai na minazi na nyembe mlizikuta maporini? Au ilikuja kwa miujiza baada ya kumuomba yesu?
 
Kwamba hapa kuwa na miembe na mipapai, nazi za asili kabla ya ujio wa wareno na wakoloni?

Kujibu watu wa aina hii ni kupoteza muda.
Hizi hapa ndizo ndizi za asili ambazo mnataka tule ile tuishi miaka 900🤣
20250211_135507.png
20250211_135525.jpg
 
Zamani za kale watu walikuwa wanaishi hadi kufikia miaka 900 sababu watu walikuwa wanakula vyakula vinavyotokana na mbegu asilia zilizoumbwa na Mungu.

Sasa hivi mtu kufikia miaka 80 amejitahidi sana.
Kama haya mahindi ya asili??
20250211_135637.jpg
20250211_135857.jpg
 
Back
Top Bottom