Ndiko tunakoelekeaDuh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
Watu ni wapuuzi tu... Ushoga ushoga ushoga wakati mabilioni na matrilioni yanaibwa na wezi wanapita katikati yetu na kwenda zao!Duh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
Nchi mwako mashoga wamekuwepo mbona tokea zamani na mnaishi naoTusishangae kwa nini hoja ya ushoga au upinde [emoji304] imepamba moto duniani kwa miaka hii miwili toka Joe Biden achuguliwe kuwa Rais wa USA. Kwa makusudi mazima alichagua mashoga maarufu kushika nafasi nyeti 210 kati ya 1,500 anazoruhusiwa kuteua anayemtaka.View attachment 2584491
Wakati wao tokea zamani wako na mashoga na mpaka leo wanaishi naoWatu ni wapuuzi tu... Ushoga ushoga ushoga wakati mabilioni na matrilioni yanaibwa na wezi wanapita katikati yetu na kwenda zao!
Ushoga unaua nguvu kaziDuh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
Nguvu kazi ya Tanzania imekufa sababu ya ushoga? Are you serious? Tunakuza mambo kuliko kawaida. Huku kwetu nguvu kazi inaisha kwa watu kukosa ajira, kukosa fursa ya mitaji, kilimo kibovu, umasikini, magonjwa, uchawi, ufisadi n.k ushoga ni least of our problemsUshoga unaua nguvu kazi
Comment yangu Bora ni hiiDuh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
Sijui nini kipo nyuma ya haya kwakweli kama kuna promo flan hiviDuh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
Mi nadhani ni muda muafaka wa kuacha kupambana na hao mashoga tuelekeze nguvu kupambana na hao wanaowafanyia hicho kitendo maarufu kwa jina la (bahasha au mabahasha) japo ni vigumu lakini itasaidia kupunguza kwa kiasi fulani kwa sababu ukipambana na hao mashoga ni vigumu kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni haki za binadamu lakini pia umaskini wetu ndio chanzo cha kutokuwa taifa huru kwa maana ya kulinda mila na desturi zetu lakini pia uoga wa viongozi wetu.
Uporaji mkubwa wa mabilioni ya Taifa unaendelea nyie mnatumwa kuangalia matumizi binafsi ya miili ya watu!Kwani na wewe tumekugusa? Mashoga wamekasirika LOL!!
Piga kigodoro au baikoko uone mashoga wakatavyojaa mtaani kwenu10% ndio idadi ya mashoga Marekani. Hawa wanataka gay vote. Sisi hatuna ya gay vote.
Halafu definition yao ya "shoga" ni very interesting. "Shoga" ni mtu ambaye amefanya same sex sex mara sita na kufikia kikele. Kwa definition hiyo ndio wanaipata ile 10%.