Agenda ya Ushoga: Katika Wateule wa Joe Biden 1,500 kuna mashoga 210 sawa na 14%

Agenda ya Ushoga: Katika Wateule wa Joe Biden 1,500 kuna mashoga 210 sawa na 14%

Kawaida huwezi zungumzia mchakato bila kuhusisha mchakato wenyewe ,Biden usenge huu asinge udilisha bila kuwaweka karibu yake
 
Mi nadhani ni muda muafaka wa kuacha kupambana na hao mashoga tuelekeze nguvu kupambana na hao wanaowafanyia hicho kitendo maarufu kwa jina la (bahasha au mabahasha) japo ni vigumu lakini itasaidia kupunguza kwa kiasi fulani kwa sababu ukipambana na hao mashoga ni vigumu kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni haki za binadamu lakini pia umaskini wetu ndio chanzo cha kutokuwa taifa huru kwa maana ya kulinda mila na desturi zetu lakini pia uoga wa viongozi wetu.
Great point.Muhimu tupambane na mabasha au watu wanaowalawiti watoto
 
Duh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.

Yaani sasa hivi hata mitaani kila mtu anaongelea huo upuuzi
 
Yule rais alikuwa black wa US mke wake ni transgender ndio maana kipindi chake alipigia chapuo sana ushoga.

Usiulize sosi tafuta habari na picha zao wakiwa vijana!
 
Duh mada za ushoga zimezidi JF, shida Nini? Mbona tunakuza sana mambo kuliko uhalisia. Ushoga wamefanya wao sisi yatuhusu Nini? Tudeal na matatizo yetu ya ufisadi, umasikini wa kutupwa hadi kukosa Hela za matundu ya choo, na ushirikina hayo ya wenzetu waachie wenyewe na tamaduni zao.
bro hata mie nashangaa
 
10% ndio idadi ya mashoga Marekani. Hawa wanataka gay vote. Sisi hatuna ya gay vote.
Halafu definition yao ya "shoga" ni very interesting. "Shoga" ni mtu ambaye amefanya same sex sex mara sita na kufikia kikele. Kwa definition hiyo ndio wanaipata ile 10%.
Duh! Sasa ni nani anayefanya kazi ya kuhakiki na kuthibitisha hiyo mambo!!
 
Ushoga unaanziaga huku
Screenshot_20230412-165002.png
 
Fungukeni akili zenu. Mnapewa propaganda za ushoga muangaike nazo kumbe wenzenu wanawaibia!
Endelea kuliwa lakini sisi tumeweka msimamo hatuwezi kuruhusu muoane mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke
 
Back
Top Bottom