Bigeso JMR
Member
- Jan 6, 2014
- 14
- 2
Ndugu wapenzi wa JamiiForum Salaam zenu!
Mimi naprocess na kupaki unga safi wa sembe na dona kutoka jijini Mbeya kwa jina la MBEYA FOOD. Unga ni Mzuri sana wadau.
Kwa sasa nahitaji maajent wanaoweza kuuza huo unga jijini Dar es salaam. Nitakuletea huo unga hadi dukani / ofsini kwako ila unatakiwa kununua kuanzia nusu tani ambayo inaghalimu sh 475,000 na kwa mahitaji ya Dar nahisi utauza ndani ya siku tatu mpaka nne unakuwa umemaliza huo mzigo.
Unaweza kupiga 0783566761 kwa mawasiliano zaidi au Email: mbeyafood@bmmarketing.co.tz
Mimi naprocess na kupaki unga safi wa sembe na dona kutoka jijini Mbeya kwa jina la MBEYA FOOD. Unga ni Mzuri sana wadau.
Kwa sasa nahitaji maajent wanaoweza kuuza huo unga jijini Dar es salaam. Nitakuletea huo unga hadi dukani / ofsini kwako ila unatakiwa kununua kuanzia nusu tani ambayo inaghalimu sh 475,000 na kwa mahitaji ya Dar nahisi utauza ndani ya siku tatu mpaka nne unakuwa umemaliza huo mzigo.
Unaweza kupiga 0783566761 kwa mawasiliano zaidi au Email: mbeyafood@bmmarketing.co.tz