Katika pitapita zangu mitaani, nimegundua kuwa kuna uhitaji mkubwa kwa bidhaa ndogo ndogo kama Ice cream, koni, bisi, bites, vinywaji baridi etc etc.
Kutokana na hilo, ninataka kama itawezekana, kuwa agent wa bidhaa za Azam kama ice cream, juice, koni, maziwa etc. Ninahisi naweza ku-make fedha nzuri kupitia mradi huo kama nitafanikiwa.
Mwenye kujua taratibu za kufuatwa, naomba anijuze. Na hata mwenye mawasiliano yao, naomba anisaidie
Kutokana na hilo, ninataka kama itawezekana, kuwa agent wa bidhaa za Azam kama ice cream, juice, koni, maziwa etc. Ninahisi naweza ku-make fedha nzuri kupitia mradi huo kama nitafanikiwa.
Mwenye kujua taratibu za kufuatwa, naomba anijuze. Na hata mwenye mawasiliano yao, naomba anisaidie