mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 643
- 499
Wanataka uwe chini kila sikunipo kwa wahind campun flan daaa hatar ubaya hawapend hata maendeleo ya wafanya kaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya sana Mkuu inauma sema unastahimili ukiangalia majukumu ndio kama hivyo.Daah acha tu mkuu kuna maboss wengine nuksi..Siku akiwa na stress zake matusi na usumbufu wote unashushiwa wewe yaani
wahindi ndio watu rahisi sana kufanya nao kazinipo kwa wahind campun flan daaa hatar ubaya hawapend hata maendeleo ya wafanya kaz
Sent using Jamii Forums mobile app
True mkuuMbaya sana Mkuu inauma sema unastahimili ukiangalia majukumu ndio kama hivyo.