mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 643
- 499
Habari Wakuu,
Hivi ushawahi fanya kazi na Agressive Boss..Ni shida kama una moyo mwepesi unaacha kazi ,pasua kichwa ,wanakondesha anataka uwe kama geogle yani swali jibu,wanakula akili sana.
Kama ushawahi kutana nao njoo tu share experience .
Hivi ushawahi fanya kazi na Agressive Boss..Ni shida kama una moyo mwepesi unaacha kazi ,pasua kichwa ,wanakondesha anataka uwe kama geogle yani swali jibu,wanakula akili sana.
Kama ushawahi kutana nao njoo tu share experience .