Tetesi: Aggy wa Feitoto adaiwa kuwa Mjamzito

Watanzania NI mandaz kbs stori za kingese ndo zinapewa kick
 
SASA CHA AJABU NI KIPI? Hongera Fei Toto (kama ni kweli) hupigi mashuti makali kwa simba tu hadi kitandani...
 
Watanzania NI mandaz kbs stori za kingese ndo zinapewa kick
Ndio jukwaa lake mkuu,wewe unataka tukomae na akina halima mdee na mambo ya ukraine tu...muda mwingine tujadili tu haya japo tujipe faraja
 
Huyo demu kaolewa na jamaa mmoja ,mbona yy mwenyewe aliinadi hiyo ndoa
 
Mimi sio shabiki wa mpira.
Hili jina la huyu mchezaji kila nokilisikia nilikuwa najua mwanamke sasa siku nakuja kugundua kumbe dume.
 
Madem wacheza mpira wanawapaga buree

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…