Aghalabu CHADEMA sasa ni sehemu ya uenezi wa itikadi na sera za CCM. Wanaeleza kwa unagaubaga namna ilani ya CCM inavyotekelezwa.

Aghalabu CHADEMA sasa ni sehemu ya uenezi wa itikadi na sera za CCM. Wanaeleza kwa unagaubaga namna ilani ya CCM inavyotekelezwa.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Angalia leo hii wanavyosifia na kueneza namna rais Samia anavyopiga kazi

Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema

Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?
Screenshot_20230506-205411.jpg
 
Nasubri comments fupi fupi za upande ule
 
Angalia leo hii wanavyosifia na kueneza namna rais Samia anavyopiga kazi

Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema

Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?View attachment 2612423
Hivi we CCM gani ambaye hupendi Mwenyekiti wako akipongezwa!?
 
Angalia leo hii wanavyosifia na kueneza namna rais Samia anavyopiga kazi

Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema

Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?View attachment 2612423
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZEKA[emoji1787][emoji1787]
 
Angalia leo hii wanavyosifia na kueneza namna rais Samia anavyopiga kazi

Kuanzia kuongeza mishahara watumishi wa umma, kutimiza mahitaji ya wananchi kama kununua vifaa tiba na madawa. Wanasifia na kulelezea vyema

Sasa sijui ni kwa nini? Au asali imekolea kwa cheamani?View attachment 2612423
Wanaccm humu jukwaani wanaongoza kuitangaza Chadema, asanteni kwa hilo.
 
Back
Top Bottom