Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Jay_255

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
743
Reaction score
1,305
AGIZA SIMU MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI

AGIZA SIMU MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI


IPHONE
iphone 6-64gb = 130,000
iphone 6 plus 64gb = 170,000
iphone 7 64gb = 200,000
iphone 7 128gb = 220,000
iphone 7 PLUS 128gb = 250,000
iphone 8 64gb = 270,000
iphone 8 256gb = 300,000
iphone 8 PLUS 64gb = 330,000
iphone 8 PLUS 256gb = 380,000
iphone X 64gb = 380,000
iphone X 256gb = 450,000
iphone XS 256gb = 570,000
iphone XR 64gb = 490,000
iphone XR 128gb = 520,000
iphone XS MAX 256gb =680,000
iphone 11 64gb = 630,000
iphone 11 128gb = 690,000
iphone 11 PRO 256gb = 750,000
iphone 11 PRO MAX 256gb = 900,000
iphone 12 128gb = 800,000
iphone 12 pro 128gb = 950,000
iphone 12 PRO 256gb = 1,150,000
iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,200,000
iphone 13 128gb = 1,100,000
iphone 13 pro 128gb = 1,200,000
iphone 13 pro 256gb = 1,350,000
iphone 13 pro MAX 256GB = 1,500,000
iphone 13 pro MAX 512GB = 1,600,000


SAMSUNG
A32 ram 4/128gb = 270,000
S8 ram 4/64gb = 220,000
S8 PLUS ram 4/64gb = 250,000
S9 ram 4/64gb = 260,000
S9 PLUS ram 6/64gb = 280,000
S10E ram 6/128gb = 250,000
S10 ram 8/128gb = 360,000
S10 PLUS ram 8/128gb = 390,000
S10 5G ram 8/256gb = 400,000
S20 ram 12/128gb = 370,000
S20 PLUS ram 12/128gb = 400,000
S20 ULTRA ram 12/128gb = 490,000
S21 ram 8/128gb = 590,000
S21 PLUS ram 8/128gb = 650,000
S21 ULTRA ram 12/128gb = 750,000
S21 ULTRA ram 12/256gb = 800,000
S22 256gb = 1,000,000
S22 PLUS 256gb = 1,050,000
S22 ultra 128gb = 1,1500,000
S22 ULTRA 256gb = 1,200,000


SAMSUNG NOTE


NOTE 8 ram 6/64gb = 270,000
NOTE 9 ram 6/128gb = 330,000
NOTE 10 256gb = 420,000
NOTE 10 PLUS 12/256gb = 480,000
NOTE 20 ram 12/128gb = 500,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 550,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 600,000


GOOGLE PIXEL


Pixel 4 ya 64gb = 250,000
Pixel 4xl ya 64gb = 300,000
Pixel 4a 5g ya 128gb = 320,000
Pixel 5 ya 128gb = 350,000
Pixel 5a ya 128gb = 440,000
Pixel 6 ya 128gb = 500,000
Pixel 6 ya 256gb = 580,000
Pixel 6 pro ya 128gb = 700,000
Pixel 7A ya 128gb = 800,000
Pixel 7pro ya 128gb = 900,000


VIVO


VIVO Y17 ram 6/128gb = 180,000
VIVO Y19 ram 6/256gb = 220,000
VIVO Y20S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y21S ram 6/128gb = 250,000
VIVO Y67 ram 4/128gb = 100,000
VIVO Y85 ram 4/128gb = 120,000
VIVO Y93 ram 6/128gb = 120,000


HUWAEI
HUAWEI Y8s ram 4/128gb = 200,000
HUAWEI Y7 PRO ram 4/64gb = 160,000
HUAWEI P30 LITE ram 4/128gb = 250,000
HUAWEI P20 LITE ram 4/128gb = 190,000
HUAWEI P10 LITE ram 4/64gb = 130,000
HUAWEI NOVA 3i ram 6/128gb = 190,000
HUAWEI NOVA 2 PLUS ram 4/128gb = 170,000


REDMI
MI Max 2 ram 4/64gb = 150,000
REDMI NOTE 4X ram 4/64gb = 120,000
REDMI PLAY ram 4/64gb = 150,000


SONY
XPERIA 8 ram 4/64gb = 190,000
Z1 COMPACT ram 4/32gb = 120,000
X PERFORMANCE ram 3/32gb = 110,000
XZ2 ram 4/64gb = 180,000
XZ PREMIUM ram 4/64gb = 170,000
XZ3 ram 4/64gb = 210,000

UTARATIBU
Ukihitaji simu, laptop au bidhaa yoyote ya electronics fika ofisini kwetu ofisi Mwenge ITV , Dar es Salaam au wasiliana nasi kwa namba hii 0677 818283

Unafanya malipo ndio bidhaa yako itaagizwa.

Muda wa kusubiria mzigo wako ni siku 3 mpaka 7 (itategemeana na ratiba za ndege na upatikanaji wa mzigo wako kwa haraka.

Tumerudi tena kazini karibuni sanaa.
 
Ushuru?
 
Hii ndivyo inavyotakiwa,ukipata fursa unaitumia.Hongera sana mtanzania mwenzetu.Sio kila siku kunafanyika mikutano isiyokuwa na tija wala manufaa.Badala ya kufanya mikutano ya kutufahamisha tufanye biashara vipi za nje.
 


Mtapigwa, msiseme hamkuambiwa
 
Naomba mambo yote yaulizwe hapa..
Kila mtu apate faida na kuelewaa

Maana biashara za mtandaoni... Zinahisiwa kuwa nyingi ni za utapeli
Hali ya kuwa Kiukweli fursa ipoo za vitu bei nafuu

NB: kwann vitu dubai bei nafuu
Falme hii vitu vinaingia bila ushuru
Na kutoka pia hamna ushuru..
 
Kama mtu anapita dubai airport transit masaa kadhaa bila kutoka nje kuna uwezekano kupokea mzigo pale airport?
 
Utaratibu wa malipo ukoje chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…