Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Ili uaminike, inabidi ufungue ofisi DAR na mtu analipia ofisini Dar ili apate mtu wa kumkamata kama mambo yakienda ndivyo sivyo!! Watu walishalizwa kwa utaratibu huu!! Vinginevyo utumie utaratibu wa "pay on delivery", yaani mtu alipie baada ya kupokea mali!!
 
Back
Top Bottom