Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

@Sal pa tusubiri huyu hapa alete mrejesho
 
mi mwnyw nasubr uthibitisho ili nifanye maamzi ya kudaka iphone hata inayomalizie maisha yke mwaka huu, maana ndy ndoto kuhaso kote nimilik iphone
Kuwa makini utatapeliwa
 
Hiyo ya kutuma pesa kwanza ndo flag inapepea hapo, ingekua huyo agent ndo ana hiyo mizigo ingekua unyama.

Ama lah agent angekua na ofisi kabisa isiyohamishika kirahisi, ila kama ni namba ya simu tu na yeye yupo tu geto inakua changamoto.

Tengeneza uaminifu mkuu kwa njia mbalimbali mkuu.
 
One Plus 11
1,050,000
Your browser is not able to display this video.
 
HUAWEI P30 PRO
470,000
Your browser is not able to display this video.
 
TUWAPENDE NA WATOTO WETU KIDIGITALI
LENOVO CHROMEBOOK
RAM 4Gb
STORAGE 32Gb
TOUCH SCREEN NA INAZUNGUKA X360
LAPTOP NA TABLET KWA WAKATI MMOJA
150,000 TU

whatsapp +971582640133 (dubai)
call 0654156671 (Dar es salaam )
 
mkuu ebu nitafutie kalaptop kokote hata used kwa 200,000 half nishtue
 
GAMING PC MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
πŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺ
MSI GS65
core i7 8t generation
ram 32gb storage 1Tb SSD
8gb gtx NVIDIA
RGB Light keyboard
1,500,000
Whatsapp :+971582640133
πŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺπŸ‡¦πŸ‡ͺ
 
Mkuu acahana nao hawa wapuuzi wanaoleta mapendekezo kwenye biashara za watu, mtu kama una wasiwasi bora ukae kimya tu. Mbona huko Ali Express, Amazon au Ebay watu wanalipa kabla? Watanzania tuna shida kubwa sana kichwani.
 
Mkuu acahana nao hawa wapuuzi wanaoleta mapendekezo kwenye biashara za watu, mtu kama una wasiwasi bora ukae kimya stu. Mbona huko Ali Express, Amazon au Ebay watu wanalipa kabla? Watanzania tuna shida kubwa sana kichwani.
umeeleza vizuri lkn hapo kwenye kufananisha n hao giant sikubaliani na wewe
Ali Express, Amazon au Ebay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…