Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
@Sal pa tusubiri huyu hapa alete mrejeshoNapenda kutoa taarifa.
Leo tarehe 11-8-2023 ijumaha nimetoka manzese Argentina kufanya malipo ya simu Google pixel 5 GB 128 used like new quality ni A++.
Nimefika mpk ofisini/nyumbani kwao na kukutana na ndugu yake Mr. Yusuph. Ndio kapokea pesa kwa niaba ya huyu ndugu yetu alioko DUBAI.
Hivi sasa nasubilia simu tajwa hapo juu mpk next week ndio itakua imefika tanganyika.
Naomba kuwasilisha.
Asante.
mi mwnyw nasubr uthibitisho ili nifanye maamzi ya kudaka iphone hata inayomalizie maisha yke mwaka huu, maana ndy ndoto kuhaso kote nimilik iphone@Sal pa tusubiri huyu hapa alete mrejesho
Kuwa makini utatapeliwami mwnyw nasubr uthibitisho ili nifanye maamzi ya kudaka iphone hata inayomalizie maisha yke mwaka huu, maana ndy ndoto kuhaso kote nimilik iphone
unachosema ndicho macho ya akili yananitonya wala cyo siyo siriKuwa makini utatapeliwa
Jina la mwisho la tatu lilikuwa MulisaKelvin Isaya jina la kihaya?
used s21 ultra mpaka 950,000 unapata...MASTERCHIEF 255 kuna mtu anaza 'S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,350,000' ameandika ni mpya, je bei yake ni sawa au nayo ni used?
kwa uelewa wako..
mkuu ebu nitafutie kalaptop kokote hata used kwa 200,000 half nishtueLAPTOP MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
[emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256]
View attachment 2717167View attachment 2717168View attachment 2717165
Hp Elitebook 840 g3
Core i5
6th generation
Ram 8gb
SSD 256gb(Unaweza kuongezewa ikawa 512gb)
BEI NI 430,000 TU
(Hapo hakuna gharama nyingne utakayo Lipia zaidi ya kusubiria laptop tu)
[emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256]
Kwa wanaohitaji kuagiza Laptop nipe model au sifa za Laptop unayohitaj nikupe bei yake.
Model za Laptop zipo nyingi sana na zina sifa tofauti tofauti
Ni ngumu kuandaa mkeka full
[emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256]
Mawasiliano zaidi whatsapp
+971582640133 (Dubai)
Call/sms 0654156671 (Ofisi dar)
[emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256]
Mkuu acahana nao hawa wapuuzi wanaoleta mapendekezo kwenye biashara za watu, mtu kama una wasiwasi bora ukae kimya tu. Mbona huko Ali Express, Amazon au Ebay watu wanalipa kabla? Watanzania tuna shida kubwa sana kichwani.Hatufanyi biashara sisi tunafanya usafirishaji tu
Tunachomsaidia mtu ni kupata bidhaa aitakayo kutoka dubai hata kama yupo nyumbani kwake
Utaratibu wa kuoda bidhaa sijawahi ona mtu analetewa ndio analipia
Hasa kwa bidhaa zitokazo nje ya nchii..
Tushapata hasara ya watu kutaka waletewe halaf walipie
Kumbe mtu alikuwa anatest
Mengine oohh ile pesa nilikaa nayo nimetumia
Imepungua kwa sasaa
Atataka alipie kidogo hllaf uanze kumdai..
Mengi yametukuta katika njia hii uliyopendekeza...
umeeleza vizuri lkn hapo kwenye kufananisha n hao giant sikubaliani na weweMkuu acahana nao hawa wapuuzi wanaoleta mapendekezo kwenye biashara za watu, mtu kama una wasiwasi bora ukae kimya stu. Mbona huko Ali Express, Amazon au Ebay watu wanalipa kabla? Watanzania tuna shida kubwa sana kichwani.
Ali Express, Amazon au Ebay