Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Ili uaminike, inabidi ufungue ofisi DAR na mtu analipia ofisini Dar ili apate mtu wa kumkamata kama mambo yakienda ndivyo sivyo!! Watu walishalizwa kwa utaratibu huu!! Vinginevyo utumie utaratibu wa "pay on delivery", yaani mtu alipie baada ya kupokea mali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…