Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Hizi simu zimewekwa ving'amuzi. Agiza kwa Umakini mkubwa. Ulitaarifiwa.
 
Mkuu kwema bado nafanya uchunguzi hii machine itakua ngapi bei Dell Precision 5530
 
Tena kipigo cha mbwa koko! Huyu jamaa tapeli mno. Eti anasema bei ni ya jumla mara eti hata ukiagizia pisi moja halafu kibaya kabisa simu zipo Dubai. Yaani huyu jamaa tapeli. Moderator wafute huu uzi
Mbona mnaharibia mwenzenu uzi wake ? Kama ulishatapeliwa nae, file RB halafu iweke hapa, na ushahidi wa malipo, chatting au mawasiliano then tutaweza kumsulibu pamoja.

Ila kama tutatumia hisia za hofu kuhukumu watu wanaofanya biashara mtandaoni then ni ukorofi tu kama ukorofi mwingine lengo ni kuwaharibia wenzetu.
 
Samahani, hizo samsung zenye vidot vyeusi ndo zikoje?? Ni Samsung halisi au clone??
Kama ni halisi kwanini zinametofautishwa kwa kuwekewa vidot?
Vioo vimeweka wino. Au kwa maneno mengine ni zilipata damage.
 
Hivi Samsung Galaxy S23 ultra, naweza pata kwako?
 
Hivi hizi simu zenye Dot huwa zinakuaje kwa mwenye kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…