Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Tumia utaratibu utakaomhakikishia mteja usalama wa pesa yake!! Usitegemee mtu na akili yake akatuma pesa kwa mtu bila security yoyote kwa pesa yake!
Sawaa nimeona muitikio mzuri
Wa hili jambo ngoja niandae mazingra mazur ya malipo

Ili mtu akitoa pesa yake awe na amani

Sina namna nyngne ya kumuaminisha mtu

Nimeona tu kuwashirikisha fursa hii
 
Huawei mate 20pro shngp
 
Nina shida ya Samsung S20 Ultra
 
Aseme mode of payment kwanza, wengine kununua simu hadi tuvunje vibubu
Wasiliana na agent wetu aliyepo dar kwa taarifa zaidi juu ya kulipa na kupokea mzigo wako
MAWASILIANO YAKE NI HAYA HAPA 0654 156671
 
Unapokea hela kwanza????
Wasiliana na agent wetu aliyepo dar kwa taarifa zaidi juu ya kulipa na kupokea mzigo wako
MAWASILIANO YAKE NI HAYA HAPA 0654 156671
 
Tena kipigo cha mbwa koko! Huyu jamaa tapeli mno. Eti anasema bei ni ya jumla mara eti hata ukiagizia pisi moja halafu kibaya kabisa simu zipo Dubai. Yaani huyu jamaa tapeli. Moderator wafute huu uzi
Wewe kama mtu wa mwsho utanunua moja moja..
Mm napenda kuwanunulia zaidi ya mmoja ndio maana unasema ni bei za jumla ila bado wewe utanunua hata moja mojaa..
 
Foldable phone zinahitajika pia
 
Asante. Shida iko hivi ukiifikisha airport kuna kodi nyingi sana, kiasi kwamba hiyo bei inaweza kuwa mara tatu. Je hilo kwa uzoefu wako lipoje?
Bei niliyokuwa hapo..
Unasubiri kupokea simu yako tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…