Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Gari mtumba(used), nguo mtumba(used), simu mtumba(used).
Watanzania muombeni Mungu sana!
Ndio uwezo wa kiuchumi wa wengi miongini mwetu..

Bado tupo dunia ya tatu.wengi hawawezi mudu gharama ya kila kitu kipyaa
 
Boss naona Unaifualitia sana hii oda
Ngoja niiweke hii clear
Na mwenyewe aje athibitishe hapa kawombe
Mdau ameagiza Google pixel 5 128gb kama alivyoeleza hapo juu

Ameletewa oda tofauti badala ya Hiyo simu google pixel 5..imekuja google pixel 4 xl 128gb..

Hakuna tatizo na amekubali hii simu tuirudishe ije google pixel 5..kama alivyotaka..
[emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256][emoji1256]
Na huu ndio ukweli.
Asanteni.
 
Sumsung A14 128gig
Bei 370000
Amenunuliwa pashkuna ameikataa anataka pixel
Simu ni mpya imetoka dukani ina siku kadhaa haijatumika coz aliyenunuliwa ameikataa hataki aina hii
Unahitaji njoo inbox
Simu ipo congo mtaa
IMG-20230825-WA0000.jpg
 
anzisha uzi wako boss wangu
Maana mimi hiyo A14 naiuza 300,000 tu
Una roho nyeusi sana mzee nisaidie kufuta coment kama umemaind

Mimi naongelea nipe nikupe
Mtu akiona simu akaridhika atatoa hela

Wewe unaongelea nipe nitakupa,
Simu iko dubizzle

370000 ni bora kuliko kutoa hata laki ambayo huna uhakika wa kupata mzigo wako kucheza kamari
wape watu uhakika wa usalama wa pesa zao me mwenyewe nahitaji simu

Ingekuwa hii ni account yako nadhani ungenishtaki
 
Una roho nyeusi sana mzee nisaidie kufuta coment kama umemaind

Mimi naongelea nipe nikupe
Mtu akiona simu akaridhika atatoa hela

Wewe unaongelea nipe nitakupa,
Simu iko dubizzle

370000 ni bora kuliko kutoa hata laki ambayo huna uhakika wa kupata mzigo wako kucheza kamari
wape watu uhakika wa usalama wa pesa zao me mwenyewe nahitaji simu

Ingekuwa hii ni account yako nadhani ungenishtaki
jamiiforums ni free
unaweza anzisha uzi wakoo.
sasa kwann udandie uzi wa mwenzio
 
Una roho nyeusi sana mzee nisaidie kufuta coment kama umemaind

Mimi naongelea nipe nikupe
Mtu akiona simu akaridhika atatoa hela

Wewe unaongelea nipe nitakupa,
Simu iko dubizzle

370000 ni bora kuliko kutoa hata laki ambayo huna uhakika wa kupata mzigo wako kucheza kamari
wape watu uhakika wa usalama wa pesa zao me mwenyewe nahitaji simu

Ingekuwa hii ni account yako nadhani ungenishtaki
Mkuu mbona umepanic,jamaa si kakwambia tu kwamba huu ni uzi wake wa matangazo anzisha na wewe utangaze,kuna shida hapo?
 
But why mfanyabiashara ujitape una account nyingi JF?

Kwa nini unaanza kujitengenezea mazingira ya Mashaka wewe mwenyewe?

Kama biashara yako ni genuine si ukaushe tu uache watu watoe maoni yao na wewe upambane na biashara yako?

Kutengeneza trust siyo kitu cha siku moja hasa kwenye huu ulimwengu uliojaa utapeli, watu wana majeraha ya kuliwa pesa zao, Hivyo ignore the negativity na uweke Sawa mazingira yako with time utaeleweka tu.

Kuna dada anaitwa panda Sourcing alianza kupost huku anaagizisha vitu kutoka China, negative comments zilikua nyingi.. ila alikua na uhakika na biashara yake .. akaweka nguvu huko.
Leo anawatu wengi tu wanaomwamin.
Nimemkumbuka panda sourcing sijui alikuwa anasoma CHINA....even wewe ni mwaminifu next time nakuunga mousof perfume....thank you so much kwa trust and promise you gave me....
 
MINYAMA MPAKA INAMWAGIKAA
Kama una mashaka usijaribu kuagiza

Wateja wenye mashaka akishatuma hrla atakupigia kila baada ya lisaa simu umepata embu nipigie picha niione...vipi umeisafirisha..

hiv sasa imefika wapi..

anataka ajue hadi anga ambalo simu ipo..
kama ipo anga la somalia ndo inakuja au ishaingia anga la kenyaa😂😂😂😂😂😂
Tajiri nakuona unavokereka kwa wateja wa hivi, lakini be loyal mkuu wala usifunzwe uaminifu.
 
Nimemkumbuka panda sourcing sijui alikuwa anasoma CHINA....even wewe ni mwaminifu next time nakuunga mousof perfume....thank you so much kwa trust and promise you gave me....

Karibu sana boss wangu .. mambo mazuri zaidi yanakuja
 
Samahani mkuu hizo simu used zinakuwa zimetumika kwa approximately muda ganii??
hii cats62 ni mpya na box lake...

Hakuna ajuaye muda wa simu uliotumika...ila tunaangalia ubora wakati unainunua.. kuanzia muonekano na ufanyajkazi wake..

katika huo ubora utaona kulingana wa uchakavu wa kimuonekano..
Sasa hapo ndio kuna grades A B C...

mm naleta grade A

simu haina mileage boss
 
Agiza sasa photocopier machine kwa bei nafuu sana kutoka dubai moja kwa moja
Bidhaa ni za mtumba lakini zinapiga kazi vizuri kabisa.
warrantee miezi 6

Baadhi ya bei za bidhaa ni
xerox 6400 = 500,000
xerox 7120 = 950,000
xerox 7220 = 950,000
xerox 7225 = 950,000
xerox 5335 = 1,050,000
cannon 2520 = 1,350,000
cannon 3525i = 1,700,000
cannon 4535i = 1,900,000
cannon 4551i = 1,900,000
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
kama unahitaji kupata taarifa zaidi nicheki
whatsapp: +971582640133

Ofisi Dar
Manzese Argentina
0654156671
NB: BEI HIYO NI MPAKA UNAPOKEA MACHINR YAKO HAKUNA GHARAMA ZINGINE UTAKAZOLIPIA
 
xerox,cannon na hp zote zinapatikana
ukiagiza kupitia sisi unaokoa laki 3 mpka laki 5

Cannon 2520 (photocopier pendwa) bongo ni 1,600,000 - 1,900,000
sisi tutakuletea kwa 1,350,000 Tu

Wasiliana nami niliyepo dubai kwa whatsapp : +971582640133

Au ofisi dar
Manzese Argentina
0654156671
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

PXL_20230826_064842823.jpg
PXL_20230826_064755867.jpg
PXL_20230826_070022643.jpg
 
xerox,cannon na hp zote zinapatikana
ukiagiza kupitia sisi unaokoa laki 3 mpka laki 5

Cannon 2520 (photocopier pendwa) bongo ni 1,600,000 - 1,900,000
sisi tutakuletea kwa 1,350,000 Tu

Wasiliana nami niliyepo dubai kwa whatsapp : +971582640133

Au ofisi dar
Manzese Argentina
0654156671
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

View attachment 2730592View attachment 2730593View attachment 2730594
Mkuu upo Dubai au Karia Koo?
 
Back
Top Bottom