Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nilikuwa namsikiliza waziri husika kwenye its akiwa na viongozi mbali mbali wa elimu na wilaya
kilichonishtua kidogo n mh waziri kutangaza leo mwende mkahakikishe shule zote zilizofioia asilimia 70 zianze maramoja jtatu
mmh sijajua usajili wa shule unatumia mdagani
nimewaza tu kwamaana hio walemabwana wamepewa jpili tu..kuifanyia kazi
jtatu shule zianze kutumika.....
kilichonishtua kidogo n mh waziri kutangaza leo mwende mkahakikishe shule zote zilizofioia asilimia 70 zianze maramoja jtatu
mmh sijajua usajili wa shule unatumia mdagani
nimewaza tu kwamaana hio walemabwana wamepewa jpili tu..kuifanyia kazi
jtatu shule zianze kutumika.....