Kumbe umemuona kwenye video??,mi nilijua humjui kabisa,sasa umeshamuona na kumsikia sana unatak kujua nn tena
Baada ya tetesi kuvuma kama moto wa kifuu kuhusu ishu ya Agnes Gelard,maarufu kama Agnes Masogange kukamatwa na madawa ya kulevya nchini Africa Kusini,yeye mwenyewe kaibuka kwenye mtandao wa instagram masaa matatu yaliyopita na kukanisha uvumi huo ambapo aliandika kwenye ukurasa wake KEEP CALM MSIACHE KUONGEA.
Duh kama ni kweli kama yeye alivyosema basi wabongo tumetisha kwa umbea aiseeh....mmh hatari
SOURCE:INSTAGRAM
Umechanganya madesa kwenye kujibu ndugu
Ni kweli Agnes kakamtwa na kuna mtu wake wakaribu ndo anatumia simu yake kupumbaza watu. Hata hivyo police huku sauz wana njaa ukiwapa hela wanakuruhusu utumie simu. Subirini mkanda mzima unakuja soon. Rummly, Kinje na wengine mnajijua mnaponza watoto wa watu
Hii ndo bongo bwanaaa kila mtu ni mwandishi wa news, kila mtu ni mwanasiasa, kila mtu ni mwalimu