Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha haya.....muda mwingine naonaga bora na hii flat screen yangu.....
Makalio kupendwa siku hizi inaongezeka kasi....siri ni nini?...
Hilo unalosema ni Kweli haijalishi ila wanasema flat Screen haina msisimko kama ilivyo tv ya chogo....Hata ukiwa na flat kama wewe unatoa express yourself haitajalisha.
Mungu aturehemu na huu Usodoma...wengi wao ni kwa ajili ya tigo
Ya Kweli.....mh! Ya kweli hayo
Wazee wa bandari maana yake nini..?Tatizo dogo haweki number ya simu wazee wa bandari wampandie juu
Nilijua ameacha...We unadhani asipeundeleza ataishije kama ni makalio walishafirigisa hadi wameyachoka.
Wazee wa bandari maana yake nini..?
Huyu dada siku akiamka akajikuta hana hicho anachoringia anaweza akafa kwa pressure
Wazee wa bandari maana yake nini..?
Hahaaaa nimecheka yani akijikuta hvyo atakufa.....mana bora ujikute uko hvyo tangia mdogo....View attachment 148427:A S embarassed::A S embarassed:
Hilo unalosema ni Kweli haijalishi ila wanasema flat Screen haina msisimko kama ilivyo tv ya chogo....
Nani anayesema!!! au na wewe wanaku expres yourself? Ila haka kamatindo kameshaenea sana kwasasa nadhani iktokea takwimu inaweza ikawa kila wanawake 6 kati ya 10 haswa wenye umri
Wanajibadilishia majina tu...Wazee wa nyambizi au tigo pia uitwa mende kwa jina lingine
Nshapata majibu....Ngoja nikaoge, nikirudi ntakwambia. hehehehe