MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Ile ni yanga aù kikosi C cha Yanga 😀 Yanga unaijua wewe? 😀Waleteni wale wazee uwanjani tare 8..lazima watafungwa dazen 12...kwa mpira wa leo hakuna cha chama,azizi ki,wala pacom..kumbukeni hii APR juzi kwenye kombe la mapinduzi imeifunga yanga 3