''Aguero umetutesa sana natamani uwepo''

Masue 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
696
Reaction score
1,222
Sergio aguero ndiye mchezaji anayefuatia kwa ufungaji wa magoli katika manchester derby baada ya wayne rooney lakin kwa manchester derby ijayo aguero anaeza asiwepo kutokana na kumpiga kiwiko reid wa west ham united. Hamu yangu kubwa ilikua kumuona aguero baada ya kututesa kwa muda kutokana na beki mbovu lakni sasa yupo kisiki erick bailly pale.
 
Aguero kajigongea sana demu anayeitwa united.

Na hata wayne rooney anamzidi mabao kwenye hiyo derby kwa sababu yeye alimeanza kucheza hiyo derby tangu zamani tofauti na arguero wa 2011, pamoja na hivyo soon aguero ndio atakuwa mfungaji bora wa manchester derby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…