ah!!!! Jaman yamenikuta msaada plz

Sikiliza kijana, ni vibaya sana kutangaza mambo hayo. Sasa naye akija hapa akidai jamaa yangu ana kibamia kama wanavyoita wenzako hap utajisikiaje? Umeshauriwa mengi hapa lakini kwa kuongezea unaweza kushauriana naye mkenda kuipunguza kwa kuishona hospital au kutumia dawa za asili ikakaza kama bikira. Na yule aliyesema mke akizaa k inapanuka sio lazima. Ukizaa kama kuna njia imongezwa inashonwa na wengine wenye upendo wanakushona unakuwa bikira kuliko mwanzo.
 
Duh!Haya mambo nilikua siyajui,ubikra huu kazi kwelikweli.Hivi wenye k kubwa huwa wanafananaje vile?Na wenye ndogo je?Niambieni nijue nichague mwenye alama ipi!

Angalia mdomo wake!
 
Hivi mwanamke unaambiwa kabisa na mwanamke kuwa uhusiano wetu ni wa "tempo" na wewe unajiweka hapo kabisa!!!
 
Umejiangalia ww vzuri? you might be complaining that the room is too big but in an actual fact the furnitures are too small to fit the room.

angalia mazee!!!

nop coz huyu si mwanamke wa kwanza kuwa nae hadi umri huu nlio fikia hadi kutaka kuoa ujue kama k nshazipitia nying na hadi nauliza ujue nimeona tofauti na kawaida,kuhusu mie shaka ondoa tia ushauri wako kuhusu swali husika nlikuwa nasikia tu kuna wadada wana k kubwa na sikuwah kukumbana nayo an ths time is ma lesn 2 learn.
 
nop coz huyu si mwanamke wa kwanza kuwa
nae hadi umri huu nlio fikia hadi kutaka kuoa
ujue kama k nshazipitia nying na hadi nauliza
ujue nimeona tofauti na kawaida,kuhusu mie
shaka ondoa tia ushauri wako kuhusu swali
husika nlikuwa nasikia tu kuna wadada wana k kubwa na sikuwah kukumbana nayo an ths time
is ma lesn 2 learn.
 
Mkuu watu wanajaribu kupindisha ukweli lakini kuna wadada wana k kubwa kweli. Chakufanya epuka style ya kifo cha mende. Mpige dogi style labda inaweza saidia na pia jitahidi kugongesha mwamba mara kwa mara!
 
isije ikawa una kibamia?

nahisi hadi hapo kwake nshakuwa kuwa kibamia,coz m2 unakuwa kibamia kulingana na k" ulo kutana nayo, hata ukiwa na 12inch (urefu wa rula ) unaweza kuwa kibamia ukikutana na k" oversize.na hata 2inchs inaweza kuwa oversize kwenye k" tight. Thn nahisi hata wao wenyewe wadada hwa wanajijua kuwa wan k" kubwa na hilo utaweza kuligundua hata katika uchangiaji wao humu jamvin utajua tu kwamba huu mchango alo utoa limemganda.
 
Mkuu watu wanajaribu kupindisha ukweli lakini kuna wadada wana k kubwa kweli. Chakufanya epuka style ya kifo cha mende. Mpige dogi style labda inaweza saidia na pia jitahidi kugongesha mwamba mara kwa mara!

thx kwa ushauri mkuu umesoma.
 
Hivi mwanamke unaambiwa kabisa na mwanamke kuwa uhusiano wetu ni wa "tempo" na wewe unajiweka hapo kabisa!!!

sasa si bora umwambie kabisa kuliko kmdanganya?halafu mwisho wa cku unamuacha?
 
...oa wa mwanzo, si anayo k ndogo?....

wa mwanzo hakuwa na ndogo la! ila anayo ya kawaida ambayo hata wewe ukiingia hutoki na hoja.bt si wa kuoa unatakiwa kujua kuwa kuna me\ke wanafaa kuwa wapenzi tu lakini hafai kuwa mke na hata ukijaribu ku forecast awe mke au mume wala haiji xo take care si kila mwanmke au mwanamme utakae kuwa nae anafaa kuwa mke au mume,
 
Mbona umeongelea upande mmoja wa k bila kugusia size ya u, inawezekana k ni kubwa kwako lakini kwa mwingine ni ndogo.

Niambie size ya uume wako.
Ungesema nina uume mkubwa sana lakina haufui dafu kwa hiyo ka ya nanii wako.

Kama umempenda kweli hilo si tatizo kabisa.
 
Unajua nn ukitaka kuona raha kwenye mahusiano kuwa mkwel tu hata kama utatembea na watatu kwa nyakat tofaut mueleze atakaye kuja coz uspo mwambia akija kubain hato kuwa na iman na ww kama mwanzo
 

nahisi kama limekuganda coz hujibu mada unatafuta maswali, fuatlia post zangu ktk mada hii utaelewa taratibu wa2 ka nyie huwa hatuendi nanyi haraka kwan mwafahamika ati!
 

una wazazi wewe?au umekulia kwenyevituo vya kulelea yatima?
 
Wadau wamekupatia majibu mazuri sana, acha uvivu kijana jitume wewe, kwani ulidhani nikuchomeka tu kama mchi kwene kinu, kuna ufundi wake ati. Kua uayone bhana hivi biology ulipata ngapi? unajua kitu kinachoitwa elastic material?
 

Hii post imenifanya nicheke kwanza lol

Tukirudi kwa mada, ni kweli wapo wanawake wana k kubwa hilo halina ubishi, na pia kuna wanaume wana u mdogo mpaka kero. Na nadhani Mungu aliumba kwa makusudi yake kabisa na ndio maana tunaambiwa mke mwema hutoka kwa bwana na ukimuomba yeye atakupa wa kufanana nawe. Sasa kaka yangu inawezekana umeangukia ubavu wa mwingine hapo.

Na kuna mwingine labda huyo aliekua nae mwanzo alikua na limashine likubwa sasa itamchukua muda kidogo kuendana na yako, kama unampenda kabla hujamwacha fuata ushauri wa king'asti inaweza kusaidia

nahisi kama limekuganda coz hujibu mada unatafuta maswali, fuatlia post zangu ktk mada hii utaelewa taratibu wa2 ka nyie huwa hatuendi nanyi haraka kwan mwafahamika ati!

Taratibu punguza ukali ili uweze kupata msaada wa kutatua tatizo lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…