Ahadi 10 za Rais Ruto kwenye sherehe za siku ya Jamhuri

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Huku taifa la Kenya likisherehekea miaka 59 ya uhuru, hotuba ya Rais mpya wa awamu ya tano Dkt. William Ruto ilikuwa ya muhimu sana na kati ya mambo mengi aliyoyasema ni ahadi 10 muhimu; lakini swali la msingi lililobakia kwenye vichwa vya raia wengi ni Je atatimiza ?

Hizi hapa ahadi 10 za JamhuriDay.

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu anaitwa Rais Kabobo na Lialia uongo mingi na ufala mingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…