Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaikumbuka ahadi hii ya 2015???
View attachment 1552454
Jibu hoja Lumumba usiishie kutukanaVery primitive ideas..
Hata watumishi wa umma waliteseka sana awamu hii
Haaminiki huyu mgombea. Huwa anayatenda asiyo yaahidi. Mfano kuteka, kuua kujeeruhi kwa risasi, hakuahidi lkn ndiyo anayatekelezaHata watumishi wa umma waliteseka sana awamu hii
Wakati wa kampeni aliwaahidi watumishi makubwa Sana.Hata watumishi wa umma waliteseka sana awamu hii
Kqbisa mkuu. Huyu John anaendesha ncchi kama familia yake. Hafai.Huyu mzee inatakiwa asipewe kura kabisa!
Ili awe na adabu na pia liwe somo kwa CCM kwamba hamuwezi kutuletea jitu lolote lisilokuwa hata na uwezo wowote mkataka tulichague !!
Tumewazoea tangu CCM izaliwe 1977 usemi Ni huo huo.JK alikuja na kauli ya kilimo kwanza ,kilimo kwanza ikawa V6 magari makubwa ya wakubwa
Wanatufanya watoto wadogo kila uchaguzi. Wapigwe chini kabisa.Tumewazoea tangu CCM izaliwe 1977 usemi Ni huo huo.JK alikuja na kauli ya kilimo kwanza ,kilimo kwanza ikawa V6 magari makubwa ya wakubwa
Ccm wanafanana na waganga wa kienyeji.kila wakati wanakuja na jipya kumbe ni lile lile. Tujitahidi iwe KANUWanatufanya watoto wadogo kila uchaguzi. Wapigwe chini kabisa.
Kweli mkuu. Ahadi jukwaani ni tamu sana. Lkn CCM wakishinda wanaanza kututeka, kutuua na kutuita wanyonge.Ccm wanafanana na waganga wa kienyeji.kila wakati wanakuja na jipya kumbe ni lile lile. Tujitahidi iwe KANU
Si ndiyo maana anaomba tena kura za ndiyo ili ayatimize yote aloyoahidi? Tumpambee Magufuli tumpe kura za ndio.Hilo limegoma.
Sasa anawatumia wasanii zaidi ya 200 ili kuvutia watu kwenye kampeni zake kwani si rahisi tena watu kwenda.
Si ndiyo maana anaomba tena kura za ndiyo ili ayatimize yote aloyoahidi? Tumpambee Magufuli tumpe kura za ndio.
Mchezo mchafu wa NECpamoja na kutotimiza ahadi zao,ccm bado huwa wanashinda tena kwa kishindo
swali...nani anawapigiaga hizo kura za ndiyo ilhali ni malalamiko toka @ sekta