Uchaguzi 2020 Ahadi za mgombea wa urais CCM nyingine ni za majukwaani tu. Watanzania muwe makini

Uchaguzi 2020 Ahadi za mgombea wa urais CCM nyingine ni za majukwaani tu. Watanzania muwe makini

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mnaikumbuka ahadi hii ya 2015???

Screenshot_20200826-135632.png
 
Tumewazoea tangu CCM izaliwe 1977 usemi Ni huo huo.JK alikuja na kauli ya kilimo kwanza ,kilimo kwanza ikawa V6 magari makubwa ya wakubwa
Wanatufanya watoto wadogo kila uchaguzi. Wapigwe chini kabisa.
 
Ccm wanafanana na waganga wa kienyeji.kila wakati wanakuja na jipya kumbe ni lile lile. Tujitahidi iwe KANU
Kweli mkuu. Ahadi jukwaani ni tamu sana. Lkn CCM wakishinda wanaanza kututeka, kutuua na kutuita wanyonge.
 
Hilo limegoma.
Sasa anawatumia wasanii zaidi ya 200 ili kuvutia watu kwenye kampeni zake kwani si rahisi tena watu kwenda.
Si ndiyo maana anaomba tena kura za ndiyo ili ayatimize yote aloyoahidi? Tumpambee Magufuli tumpe kura za ndio.
 
pamoja na kutotimiza ahadi zao,ccm bado huwa wanashinda tena kwa kishindo

swali...nani anawapigiaga hizo kura za ndiyo ilhali ni malalamiko toka @ sekta
 
Back
Top Bottom