Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu NEC watakimbia ofisi. Wamuulize Rais mstaafu kaunda wa zambia,alishindwa uchaguzi kwa sababu ya kukosekana kwa unga wa sembe. Pamoja na kuwa aliijenga TAZARA ambayo ni SGRMchezo mchafu wa NEC
Sasa ndiyo apigwe chini ili arudi kwao Chatolipenda kusema hivi..." Yale ni Maneno ya kwenye kampeni" huyu mzee maisha yake na watz miaka hii Mitano ni Kama alijisahau kua atatakiwa Kuja kujieleza Tena.
Akachunge mbuziSasa ndiyo apigwe chini ili arudi kwao Chato
Asante kwa ugali huu wa kumbukumbu. Natamani mgombea wa ccm aisome hii.Mwaka huu NEC watakimbia ofisi. Wamuulize Rais mstaafu kaunda wa zambia,alishindwa uchaguzi kwa sababu ya kukosekana kwa unga wa sembe. Pamoja na kuwa aliijenga TAZARA ambayo ni SGR
Ewaaaaaa!Akachunge mbuzi
Namaanisha ilikuwa ni ahadi za kampeni za kipuuzi karne ya 21Jibu hoja Lumumba usiishie kutukana
Mkuu inabidi tuwasaidie kuyaibua ili huyu John asichaguliwe tena. Miaka mitano mingine ikiongezeka kwa huyu John atatakufa kifudifudiVitu hivi ndio inabidi viibuliwe na kuatwanywa. Kuna list ndefu sana ya ahadi zake. Zaidi ya 70% hazikutekelezwa kabisa. Nashangaa kwa nini wapinzani hawasemi haya.
Ooh! Sawa mkuuNamaanisha ilikuwa ni ahadi za kampeni za kipuuzi karne ya 21
Umeona ee? Walipokuwa wakiulizwa wanasema mil 50 tushazitoa ktk elimu bure. Duuh! CCM wakapumzike jamani.Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Ii haina tofaut na ahadi za kutoa maziwa kwenye mabomba
Tutawapuuza Mara ngapi. Ni wachumia tumbo Kama KANUUmeona ee? Walipokuwa wakiulizwa wanasema mil 50 tushazitoa ktk elimu bure. Duuh! CCM wakapumzike jamani.
Unamaanisha utampigia yule mamluki na pandikizi la mabeberu?Utampa mwenyewe, mimi kura yangu hapati ng'o
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mwaka huu siajabu akaahidi mbuga ya wanyama kila kijiji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahahaaaCCM imegeuzwa kuwa taasisi ya kukoroga kinyesi na huyu bwana bichwa korosho
Hahahahaha na kuongeza mke kila graduateMwaka huu siajabu akaahidi mbuga ya wanyama kila kijiji.
Unamaanisha utampigia yule mamluki na pandikizi la mabeberu?
Kwa kuwa hujauliza mamluki na pandikizi ni akina nani, sina shaka kabisa unajua pia mabeberu ni akina nani.Hivi beberu ni kina nani? Mapigo ya ngoma ni tofauti na unavyocheza