The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Sawa mkuu.Tafuta namna nyingine ya kutatua shida yako, hii imetukuta wengi
NoumaKila mtu na maswaibu yake mwamba kuna wengine hawajui kukataa .Mi kuna Uncle wangu ukimwambie niazime elf 20 utasikia sawa badae kidogo uncle ,milioni 5 nayo ni hivyo hivyo utasikia nipe muda hii niweke kwenye account yako au.Lakini hatumi hata 100.
Pitia uzi huu, utajifunza kitu. hutopata hasara.Amani iwe kwenu.
Ninapitia kipindi cha kuumia sana.
Hivi rafiki mnayeheshimiana akikuahidi atakusaidia kutatua tatizo lako la kipesa halafu baadae hapokei simu wala hajibu SMS zako na pesa hakusaidii kama alivyoahidi, ila unaona anaweka status tu WhatsApp huwa mnachukua hatua gani wakuu?
Jamaa yangu mmoja amenifanyia hivyo, hajui tu ameniumiza kiasi gani.
Hatari huyo mtu wanandugu tumeshamjua anakulaza mlango wazi hata umwambie na shida na milioni 15 atakujibu freeesh mpaka kufikia jioni itakua tayari.Sasa jiachie.Nouma
Nimechukua hiiRafiki yako wa kwanza inatakiwa awe ni wewe peke yako .. ukimtegemea binadamu utabaki kulaumu watu bure tu
Sio lazima mtu aliekuhaidi atimize ahadi ..
Lower you expectation brother
Ujui magumu alokuwa nayo so ucmlaumu mzeeAmani iwe kwenu.
Ninapitia kipindi cha kuumia sana.
Hivi rafiki mnayeheshimiana akikuahidi atakusaidia kutatua tatizo lako la kipesa halafu baadae hapokei simu wala hajibu SMS zako na pesa hakusaidii kama alivyoahidi, ila unaona anaweka status tu WhatsApp huwa mnachukua hatua gani wakuu?
Jamaa yangu mmoja amenifanyia hivyo, hajui tu ameniumiza kiasi gani.
Amani iwe kwenu.
Ninapitia kipindi cha kuumia sana.
Hivi rafiki mnayeheshimiana akikuahidi atakusaidia kutatua tatizo lako la kipesa halafu baadae hapokei simu wala hajibu SMS zako na pesa hakusaidii kama alivyoahidi, ila unaona anaweka status tu WhatsApp huwa mnachukua hatua gani wakuu?
Jamaa yangu mmoja amenifanyia hivyo, hajui tu ameniumiza kiasi gani.
Hahaha, nimecheka Kwa sautj, nina dada yangu nae yuko hvyo, utasikia saiz Niko mbali na vibanda vya Mpesa , ngoja nitume ata mtu akakutumie. Ukipiha cm haipokelewi tenaKila mtu na maswaibu yake mwamba kuna wengine hawajui kukataa .Mi kuna Uncle wangu ukimwambie niazime elf 20 utasikia sawa badae kidogo uncle ,milioni 5 nayo ni hivyo hivyo utasikia nipe muda hii niweke kwenye account yako au.Lakini hatumi hata 100.
yaani mkuu alikuwa hadi ameniambia muda wa kutuma na nimpe account number,basi baada ya hapo akaacha kupokea simu,ila status zake yuko sherehe tu anaweka,na hata hilo tatizo nilimuambia,sasa kama ameona amebadili mawazo si angesema hanipi tu nikawa na amani.Si kwamba hataki kukusaidia ila hana uwezo huo wa kukusaidia usimchukulie vibaya
nahisi hujaelewa muktadha.Hana sasa ndio umlazimishe
Hana sasa ndio umlazimishe