Ahadi!

Ahadi!

Hahaha nimejaribu kuunganisha ........ sipati kitu!Jamaa hana sababu ya kudanganya bana!

cgan1071l.jpg


...Goodluck na hizo recordings.
Wengine tayari (treasured mementos) wedding fotos kama hazijachomwa moto, zimesahaulika kwenye maboksi zimejaa vumbi kama sio kunyewa na mende/kuliwa na panya.
 
...Goodluck na hizo recordings.
Wengine tayari (treasured mementos) wedding fotos kama hazijachomwa moto, zimesahaulika kwenye maboksi zimejaa vumbi kama sio kunyewa na mende/kuliwa na panya.
Orait..dah ila ni ajabu sana watu wanavyoanzaga kwa mbwembwe na kumaliza kwa fujo!Utadhani sio wale waliolishana keki kwa mdomo na kushikana nonstop
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Maneno mengi tunaambiana ila huwa kuyatekeleza inakuwa shida.hasa hawa wenzetu wakiwa wanataka uhusiano watasema mpaka wanaweza hamisha milima

sasa kwa nini uidanganye nafsi yako?
 
Ngoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
Lizzy hujasoma vizuri hapa nini,eti wewe sio 'kifaa cha viwango vya paradiso' ?

Nlidhani ndo umeshanitosa hivyo!
Labda unitose wewe dearest.
 
Lizzy hujasoma vizuri hapa nini,eti wewe sio 'kifaa cha viwango vya paradiso' ?

Labda unitose wewe dearest.
Gosh!Hivi kumbe nimeshushwa kiwango hapo!Twende zetu dearest...siangalii tena nyuma!
 
Back
Top Bottom